Ni wakinga wachache tupo kwenye mambo ya Siasa, Siasa ni kazi ya ziada kwa wakinga

Ni wakinga wachache tupo kwenye mambo ya Siasa, Siasa ni kazi ya ziada kwa wakinga

Nataka kuoa mke mkinga hasa dada yako bila masharti je nitapata awe mzuri lkn! na mchapa kazi! hata km huna Dada nataka mwenye asili ya utajiri!
 
Ngoja tusubiri tuone hiki kizazi cha wakinga ambao baadhi mmeelimika.

Ila kwa kizazi kilochopita ushirikina ulikuwepo kwa kiasi cha kutisha.

Nina marafiki zangu wawili wakinga, kwao kuna wamama wanacheka cheka tu, siku nzima kuhesabu vidole.

Kuna mwengine nae nlishuhudia anamfuga mbuzi tangu nipo darasa la tano hadi naingia form 5, enzi hizo huyu mzee kila wiki mara 3 anaenda makete huko anazuga kabeba kuni kutoka makete kwenye surf yake kumbe watu tulishajua.

Pia mwengine hapa Mbeya ana gesti yake, nje kuna mbwa koko wengi hataki wafukuzwe.

Kiufupi nmeishi na wakinga, ni watu smart, ila linapokuja swala la ushirikina hapo ndio nawakwepa.

Wakinga wanapenda toyota surf aisee 😂😂😂😂
Mkuu watu wa vijijini wanaigna magari sana huyu akinunua Kluger au Harrier wote wananunua hayo hayo mfano Tukuyu Toyota Gaia ni mengi sana....kama vile Dar na IST
 
Je, ilishawahi kutokea mkinga na mpare wakafunga ndoa?
Je, waliweza kupata watoto?
 
Ila wakinga noma sana.
Kumtoa hela mkinga hata kwa faida yake mwenyewe ni kama kukamua jiwe upate juisi.
Ni wagumu kinoma.
Wako tayari hata kunyongwa lakini pesa isitoke, watu wanawasema wapare ni mabahili, hawajawaona wakinga.
Ktk komenti zote humu ww ndio umenifanya nicheke sana kwa leo. Wakinga wa leo hatuna ugumu wowote. Wagumu walikuwa wale wa zamani.
 
Back
Top Bottom