mikononyuma
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 641
- 600
Nimestaajabu muuza kahawa anamiliki frame 3 kariakoo ,mtaji umetoka kwenye biashara ya kahawa na kashata [emoji56][emoji33][emoji849][emoji36]No, kahawa na kashata inakupa change ya shillingi 3,000 mpaka 10,000 kwa siku na inategemea
Ndiyo hapo sasaNimestaajabu muuza kahawa anamiliki frame 3 kariakoo ,mtaji umetoka kwenye biashara ya kahawa na kashata [emoji56][emoji33][emoji849][emoji36]
Mkuu watu wa vijijini wanaigna magari sana huyu akinunua Kluger au Harrier wote wananunua hayo hayo mfano Tukuyu Toyota Gaia ni mengi sana....kama vile Dar na ISTNgoja tusubiri tuone hiki kizazi cha wakinga ambao baadhi mmeelimika.
Ila kwa kizazi kilochopita ushirikina ulikuwepo kwa kiasi cha kutisha.
Nina marafiki zangu wawili wakinga, kwao kuna wamama wanacheka cheka tu, siku nzima kuhesabu vidole.
Kuna mwengine nae nlishuhudia anamfuga mbuzi tangu nipo darasa la tano hadi naingia form 5, enzi hizo huyu mzee kila wiki mara 3 anaenda makete huko anazuga kabeba kuni kutoka makete kwenye surf yake kumbe watu tulishajua.
Pia mwengine hapa Mbeya ana gesti yake, nje kuna mbwa koko wengi hataki wafukuzwe.
Kiufupi nmeishi na wakinga, ni watu smart, ila linapokuja swala la ushirikina hapo ndio nawakwepa.
Wakinga wanapenda toyota surf aisee ππππ
Hao watakula kokoto za kuchemsha.Je, ilishawahi kutokea mkinga na mpare wakafunga ndoa?
Je, waliweza kupata watoto?
Ktk komenti zote humu ww ndio umenifanya nicheke sana kwa leo. Wakinga wa leo hatuna ugumu wowote. Wagumu walikuwa wale wa zamani.Ila wakinga noma sana.
Kumtoa hela mkinga hata kwa faida yake mwenyewe ni kama kukamua jiwe upate juisi.
Ni wagumu kinoma.
Wako tayari hata kunyongwa lakini pesa isitoke, watu wanawasema wapare ni mabahili, hawajawaona wakinga.