Ni wakinga wachache tupo kwenye mambo ya Siasa, Siasa ni kazi ya ziada kwa wakinga

Ni wakinga wachache tupo kwenye mambo ya Siasa, Siasa ni kazi ya ziada kwa wakinga

Wewe ni muongo na story zako za vijiweni hebu tuambie ni nani unae mfahamu na umemuona kamuweka mzazi kwenye chumba cha siri.

Hilo la ubahili ndilo linafanya wakinga hata wakitajirika wasiishi maisha ya anasa ndicho nimejifunza kwao kwa kweli ni mabahili kwelikweli tena hasaa, hata kununua nguo tu huwa anaona anapunguza pesa kwenye mzunguko wa biashara yake.
Kiongozi usiseme ubahiri, Sisi sio wabahiri tunakua na Malengo

Ukiwa na Lengo huwezi kula pesa hovyo hovyo
Una lengo la kujenga nyumba, Unaweza tumia 100,000 Bar? Ukigawa 100,000 kwa tofali la 1000 unapata tofali 100

Mtu akiomba laki 100,000 nitampa au nitanunua tofali.? Lazima ninunue tofali
 
Ila wakinga noma sana.
Kumtoa hela mkinga hata kwa faida yake mwenyewe ni kama kukamua jiwe upate juisi.
Ni wagumu kinoma.
Wako tayari hata kunyongwa lakini pesa isitoke, watu wanawasema wapare ni mabahili, hawajawaona wakinga.
Huu mwezi October, Weka lengo kuwa January inabidi uwe na Milioni 2 kwa ajili ya kwenda Serengeti National Park

Hakika mtu akiomba huwezi kutoa pesa yako

Anza na lengo kwanza

Ukiwa na Lengo unakuwa mgumu sana
 
Kiongozi usiseme ubahiri, Sisi sio wabahiri tunakua na Malengo

Ukiwa na Lengo huwezi kula pesa hovyo hovyo
Una lengo la kujenga nyumba, Unaweza tumia 100,000 Bar? Ukigawa 100,000 kwa tofali la 1000 unapata tofali 100

Mtu akiomba laki 100,000 nitampa au nitanunua tofali.? Lazima ninunue tofali
Ila kaubahili mnako wakinga aisee sasa sijui tuseme ubahili au ndio nidhamu ya pesa lakini daah! Wakinga kwenye pesa matumizi yao magumu sana
 
Ila kaubahili mnako wakinga aisee sasa sijui tuseme ubahili au ndio nidhamu ya pesa lakini daah! Wakinga kwenye pesa matumizi yao magumu sana
Unaowasaidia hawawezi kukusaidia baadae, Baadae unakuwa peke yako hakuna Rafiki au Ndugu

Jifunze kusema hapana ukiombwa Pesa

Sema hapana au sina Pesa, Weka malengo

Sisi wakinga tunasaidiana sana unaweza mleta dogo toka Makete aje kukusaidia kazi, Akizoea unampa mtaji ili nae amlete dogo mwingine ndio maisha yetu

Wakinga kwa wakinga tunasaidiana sana, Uliza story ya kila Mkinga anamshukuru Mwenzake

Makabila mengine hawasaidiani wanataka status

Wakinga tunasaidiana sana kwenye biashara zetu mkuu
 
Hizi mada za ukabila nazichukia kwelikweli naziona ni takataka kama kinyesi.Zinatusaidia nini sisi? Baadala ya kuongelea Taifa letu tunalikwamuaje sisi tunakazana na ukabila.Muafrika Mungu kamnyima akili na fikra ndoo maana yote haya yanatokea.
Mpumbavu pekee ndo atachukia mada kama hizi. Kitu muhimu ni kuona kuwa mtoa mada analenga nini, lugha anayotumia n.k. Mtu hatukani kabila lingine, hatukani dini ya mtu, hana lugha yoyote mbaya ya kutweza ama kubagua wengine just anaridhisha nafsi yake na wale wanaokubali mada yake shida ipo wapi?

Aidha, umelazimishwa na nani kusoma? Si uneona kichwa cha mada? Si uishiti tu? Kwani, humu JF unasoma kila uzi? Mbona kuna uzi mamia unapotezea,inakuwaje unase hapa? Si kwamba una tatizo binafsi?

Acha bullying za kipumbavu na heshimu mawazo ya wengine.
 
Huu mwezi October, Weka lengo kuwa January inabidi uwe na Milioni 2 kwa ajili ya kwenda Serengeti National Park

Hakika mtu akiomba huwezi kutoa pesa yako

Anza na lengo kwanza

Ukiwa na Lengo unakuwa mgumu sana
Mkuu nina nyumba small mkinga, ni mzuri balaa, ila siku akitaka kitu kwako utazimia.
Na siku ukitaka hata laki kwake utaomba dunia isimame.
Ila tuko vizuri naye.
 
GUSSIE kuwa tajiri anayemiliki gorofa kubwa au msululu wa basi halafu huwezi kula chakula kizuri na kuvaa mavazi mazuri ni utumwa.

Labda Fred Vunjabei tu ndiye mkinga ninaye muona anaishi kama binadamu. Wengine wote wanaishi kama Fuko au panya buku. Wengi wamewaweka wazaz wao misukule kwenye vyumba vya Siri ndani ya biashara zao.

Na wakivunja masharti hufilisika immediately. Ukinga ni utumwa
Wanapenda sn nguvu za giza
 
Unaowasaidia hawawezi kukusaidia baadae, Baadae unakuwa peke yako hakuna Rafiki au Ndugu

Jifunze kusema hapana ukiombwa Pesa

Sema hapana au sina Pesa, Weka malengo

Sisi wakinga tunasaidiana sana unaweza mleta dogo toka Makete aje kukusaidia kazi, Akizoea unampa mtaji ili nae amlete dogo mwingine ndio maisha yetu

Wakinga kwa wakinga tunasaidiana sana, Uliza story ya kila Mkinga anamshukuru Mwenzake

Makabila mengine hawasaidiani wanataka status

Wakinga tunasaidiana sana kwenye biashara zetu mkuu
Kwenye hilo la kusaidiana sina swali nimelishuhudia mwenyewe kwa macho ila la ubahili mpo mmetisha
 
Nyie ni washirikina sn

Hii ni notion tu lakini kama anavosena Seneta kwenye hii maada ametufundisha mambo mengi, siri ya mafanikio ni kazi na malengo lakini pia nidhamu ya pesa, wakinga kwenye uchawi tunawaonea bure maana nimefanya biashara na wakinga hawa jamaa waaminifu sana na hawana dhuluma kwa watu wengine.
 
Mimi Gussie nimezaliwa kaskazini na watu wananijua ni wa huko, Mimi ni Mkinga kamili wa Ikonda. Nimekaa sana Nchini Rwanda pia

Anayesemwa sana na watu Mzee Mwakipande aliyekuwa anatoa utajiri alikuwa mjomba wangu na alikwishafariki zamani, Hivi sasa anayefanya kazi za uganga ni mtoto wa mjomba anaitwa Leonard Mwakipande ndiye alirithishwa kazi

Wanaokwenda huko si matajiri tu kama watu wanavyosimuliwa, Kuna watu wana matatizo tofauti ya magonjwa ya ushirikina

Na sio kila tajiri unayemuona akienda huko amefuata utajiri Wengine wamezaliwa huko na huko ni kwao kama mimi GUSSIE

Kama una swali lolote kuhusu huko kwa Mwakipande niulize nitakujibu kwa kadri mimi ninavyoishi na hao ndugu zangu

Mambo mengi yanayosemwa kuhusu sisi wakinga sio kweli, Na hata hizi habari za utajiri kuwa Binamu yangu Leonard Mwakipande anatoa utajiri sio kweli

Kaburi la mjomba ni kweli hakuzikwa kama kuzikwa bali amewekwa kwenye kitanda chake na amejengewa nyumba ndogo tu, Yeye haozi na aliomba asizikwe

Maisha ya huko kwetu kwa sasa yamebadilika sana, Zamani tulitembea kwa miguu toka Ikonda mpaka huko, Leo kuna pikipiki za kutosha

Kuhusu Mimi Gussie kupenda siasa na kufanya kama kitu cha ziada ilitokana na sababu zifuatazo:

Mosi, Wakati huo wazazi wangu wanafanya biashara wao hawakusoma sana na hii ni kwa wakinga wengi wenye biashara hapo kariakoo, Wazazi waliamua kukata shauri na kutupeleka shule watoto ili tujue kuwa wahasibu wao na washauri. Mawazo yao hayo sasa yamefanya wakinga wafanye biashara za kisasa kwa kuzingatia sheria za nchi na kutokulalamika

Kwa kuwa wazazi wetu wengi wa kikinga walikuwa na pesa lakini elimu ndogo kila wakati waliona mambo ya kodi na sheria zinawaonea, Lakini sasa wakinga baada ya sisi watoto kwenda shule mambo yamebadilika na tunashauri wazazi vizuri

Kupitia haya mambo ya kwenda TRA na kurudi, Kuhudhuria vikao vya biashara na wanasiasa yakanifanya na Mimi kwanini nisiingie huko ili kupenyeza agenda zetu wakinga

Pili, Niliumia kuona wakinga ambao wapo kwenye siasa na Wakututetea ni wachache sana, Hata Darasani watu kutoka ukinga tulikuwa kidogo sana, Leo hii hapo Udsm sisi wakinga tuna hata mkufunzi Mkinga haikuwa jambo rahisi

Mwisho sisi ni wamoja na wala huwezi sikia tunagombana ingawa tunagombana lakini mambo yetu tunayamaliza kindugu, Hatuna wivu wala chuki sisi na mtu

Nakaribisha maswali kuhusu wakinga, Uliza nitakujibu

Mpaka Leo Mimi nikisikia Mkinga mwezangu amenunua Gari jipya nitajitahidi ninunue kama gari lake, Wakinga tunaigana sana mambo yetu, Ukifika Njombe pale utashangaa unaweza kuta magari yote ya aina moja

Msitucheke wakinga na mambo yetu ya kuigana kwenye kununua vitu

Any Question? , I 'm here to reply about Kinga' s
Zile kafara za watoto huwa zinawaongezea utajiri au ni uongoo...!
 
Hii ni notion tu lakini kama anavosena Seneta kwenye hii maada ametufundisha mambo mengi, siri ya mafanikio ni kazi na malengo lakini pia nidhamu ya pesa, wakinga kwenye uchawi tunawaonea bure maana nimefanya biashara na wakinga hawa jamaa waaminifu sana na hawana dhuluma kwa watu wengine.
Kwanini waitwe wachawi wao tu? inamaana wakinga wanamaendeleo sn kiasi kwamba tunawaonea wivu? hakuna lolote
 
Mimi Gussie nimezaliwa kaskazini na watu wananijua ni wa huko, Mimi ni Mkinga kamili wa Ikonda. Nimekaa sana Nchini Rwanda pia

Anayesemwa sana na watu Mzee Mwakipande aliyekuwa anatoa utajiri alikuwa mjomba wangu na alikwishafariki zamani, Hivi sasa anayefanya kazi za uganga ni mtoto wa mjomba anaitwa Leonard Mwakipande ndiye alirithishwa kazi

Wanaokwenda huko si matajiri tu kama watu wanavyosimuliwa, Kuna watu wana matatizo tofauti ya magonjwa ya ushirikina

Na sio kila tajiri unayemuona akienda huko amefuata utajiri Wengine wamezaliwa huko na huko ni kwao kama mimi GUSSIE

Kama una swali lolote kuhusu huko kwa Mwakipande niulize nitakujibu kwa kadri mimi ninavyoishi na hao ndugu zangu

Mambo mengi yanayosemwa kuhusu sisi wakinga sio kweli, Na hata hizi habari za utajiri kuwa Binamu yangu Leonard Mwakipande anatoa utajiri sio kweli

Kaburi la mjomba ni kweli hakuzikwa kama kuzikwa bali amewekwa kwenye kitanda chake na amejengewa nyumba ndogo tu, Yeye haozi na aliomba asizikwe

Maisha ya huko kwetu kwa sasa yamebadilika sana, Zamani tulitembea kwa miguu toka Ikonda mpaka huko, Leo kuna pikipiki za kutosha

Kuhusu Mimi Gussie kupenda siasa na kufanya kama kitu cha ziada ilitokana na sababu zifuatazo:

Mosi, Wakati huo wazazi wangu wanafanya biashara wao hawakusoma sana na hii ni kwa wakinga wengi wenye biashara hapo kariakoo, Wazazi waliamua kukata shauri na kutupeleka shule watoto ili tujue kuwa wahasibu wao na washauri. Mawazo yao hayo sasa yamefanya wakinga wafanye biashara za kisasa kwa kuzingatia sheria za nchi na kutokulalamika

Kwa kuwa wazazi wetu wengi wa kikinga walikuwa na pesa lakini elimu ndogo kila wakati waliona mambo ya kodi na sheria zinawaonea, Lakini sasa wakinga baada ya sisi watoto kwenda shule mambo yamebadilika na tunashauri wazazi vizuri

Kupitia haya mambo ya kwenda TRA na kurudi, Kuhudhuria vikao vya biashara na wanasiasa yakanifanya na Mimi kwanini nisiingie huko ili kupenyeza agenda zetu wakinga

Pili, Niliumia kuona wakinga ambao wapo kwenye siasa na Wakututetea ni wachache sana, Hata Darasani watu kutoka ukinga tulikuwa kidogo sana, Leo hii hapo Udsm sisi wakinga tuna hata mkufunzi Mkinga haikuwa jambo rahisi

Mwisho sisi ni wamoja na wala huwezi sikia tunagombana ingawa tunagombana lakini mambo yetu tunayamaliza kindugu, Hatuna wivu wala chuki sisi na mtu

Nakaribisha maswali kuhusu wakinga, Uliza nitakujibu

Mpaka Leo Mimi nikisikia Mkinga mwezangu amenunua Gari jipya nitajitahidi ninunue kama gari lake, Wakinga tunaigana sana mambo yetu, Ukifika Njombe pale utashangaa unaweza kuta magari yote ya aina moja

Msitucheke wakinga na mambo yetu ya kuigana kwenye kununua vitu

Any Question? , I 'm here to reply about Kinga' s
Twa kusisimka mkuu 😆😆,waambie chadema siasa sio kazi
 
Mimi Gussie nimezaliwa kaskazini na watu wananijua ni wa huko, Mimi ni Mkinga kamili wa Ikonda. Nimekaa sana Nchini Rwanda pia

Anayesemwa sana na watu Mzee Mwakipande aliyekuwa anatoa utajiri alikuwa mjomba wangu na alikwishafariki zamani, Hivi sasa anayefanya kazi za uganga ni mtoto wa mjomba anaitwa Leonard Mwakipande ndiye alirithishwa kazi

Wanaokwenda huko si matajiri tu kama watu wanavyosimuliwa, Kuna watu wana matatizo tofauti ya magonjwa ya ushirikina

Na sio kila tajiri unayemuona akienda huko amefuata utajiri Wengine wamezaliwa huko na huko ni kwao kama mimi GUSSIE

Kama una swali lolote kuhusu huko kwa Mwakipande niulize nitakujibu kwa kadri mimi ninavyoishi na hao ndugu zangu

Mambo mengi yanayosemwa kuhusu sisi wakinga sio kweli, Na hata hizi habari za utajiri kuwa Binamu yangu Leonard Mwakipande anatoa utajiri sio kweli

Kaburi la mjomba ni kweli hakuzikwa kama kuzikwa bali amewekwa kwenye kitanda chake na amejengewa nyumba ndogo tu, Yeye haozi na aliomba asizikwe

Maisha ya huko kwetu kwa sasa yamebadilika sana, Zamani tulitembea kwa miguu toka Ikonda mpaka huko, Leo kuna pikipiki za kutosha

Kuhusu Mimi Gussie kupenda siasa na kufanya kama kitu cha ziada ilitokana na sababu zifuatazo:

Mosi, Wakati huo wazazi wangu wanafanya biashara wao hawakusoma sana na hii ni kwa wakinga wengi wenye biashara hapo kariakoo, Wazazi waliamua kukata shauri na kutupeleka shule watoto ili tujue kuwa wahasibu wao na washauri. Mawazo yao hayo sasa yamefanya wakinga wafanye biashara za kisasa kwa kuzingatia sheria za nchi na kutokulalamika

Kwa kuwa wazazi wetu wengi wa kikinga walikuwa na pesa lakini elimu ndogo kila wakati waliona mambo ya kodi na sheria zinawaonea, Lakini sasa wakinga baada ya sisi watoto kwenda shule mambo yamebadilika na tunashauri wazazi vizuri

Kupitia haya mambo ya kwenda TRA na kurudi, Kuhudhuria vikao vya biashara na wanasiasa yakanifanya na Mimi kwanini nisiingie huko ili kupenyeza agenda zetu wakinga

Pili, Niliumia kuona wakinga ambao wapo kwenye siasa na Wakututetea ni wachache sana, Hata Darasani watu kutoka ukinga tulikuwa kidogo sana, Leo hii hapo Udsm sisi wakinga tuna hata mkufunzi Mkinga haikuwa jambo rahisi

Mwisho sisi ni wamoja na wala huwezi sikia tunagombana ingawa tunagombana lakini mambo yetu tunayamaliza kindugu, Hatuna wivu wala chuki sisi na mtu

Nakaribisha maswali kuhusu wakinga, Uliza nitakujibu

Mpaka Leo Mimi nikisikia Mkinga mwezangu amenunua Gari jipya nitajitahidi ninunue kama gari lake, Wakinga tunaigana sana mambo yetu, Ukifika Njombe pale utashangaa unaweza kuta magari yote ya aina moja

Msitucheke wakinga na mambo yetu ya kuigana kwenye kununua vitu

Any Question? , I 'm here to reply about Kinga' s
Mkuu kwa nini saizi tumeacha ibada zetu za asili hususani pale Ikonda Tulikuwa kila alhamisi ni siku ya ibada lakini saizi mbona hakuna.?

Pili Kwa nini saizi miaka hii wakinga tumekuwa tunahaso Sana kwenye utafutaji sawa tuu na makabila mengine maskini tofauti na zamani? Nyota zetu zikeenda wapi?

Tatu Ikonda wewe ni ukoo gani maana na mimi ni natokea Ikonda kwenye ukoo wa Kina Sanga( Kivevele)..
 
Mkuu, Ni kweli ule ni ushamba tu wa wazee wetu wa zamani

Kizazi cha wakinga kama Fred Vunja Bei ni kizazi kipya kilichoenda shule na kuwa na exposure

Nenda Leo pale Kariakoo vijana wa Kikinga wapo smart sana na wanakula pamba vizuri

Kama nilivyosema hapo awali wazazi wetu hawakwenda shule, Shule inasaidia pia mtu kuwa mstaarabu sana

Leo hii kuna mabadiliko makubwa sana kwa sisi wakinga
Bado suala la kafara za binadamu kwenye utajiri wa wakinga ni kubwa sana, bado wakinga wana safari ndefu ya kupata utajiri wa kutumia akili na sio ndagu. Wachagga wapo mbele sana kwa hilo.
 
Back
Top Bottom