Kiongozi usiseme ubahiri, Sisi sio wabahiri tunakua na MalengoWewe ni muongo na story zako za vijiweni hebu tuambie ni nani unae mfahamu na umemuona kamuweka mzazi kwenye chumba cha siri.
Hilo la ubahili ndilo linafanya wakinga hata wakitajirika wasiishi maisha ya anasa ndicho nimejifunza kwao kwa kweli ni mabahili kwelikweli tena hasaa, hata kununua nguo tu huwa anaona anapunguza pesa kwenye mzunguko wa biashara yake.
Huu mwezi October, Weka lengo kuwa January inabidi uwe na Milioni 2 kwa ajili ya kwenda Serengeti National ParkIla wakinga noma sana.
Kumtoa hela mkinga hata kwa faida yake mwenyewe ni kama kukamua jiwe upate juisi.
Ni wagumu kinoma.
Wako tayari hata kunyongwa lakini pesa isitoke, watu wanawasema wapare ni mabahili, hawajawaona wakinga.
Ila kaubahili mnako wakinga aisee sasa sijui tuseme ubahili au ndio nidhamu ya pesa lakini daah! Wakinga kwenye pesa matumizi yao magumu sanaKiongozi usiseme ubahiri, Sisi sio wabahiri tunakua na Malengo
Ukiwa na Lengo huwezi kula pesa hovyo hovyo
Una lengo la kujenga nyumba, Unaweza tumia 100,000 Bar? Ukigawa 100,000 kwa tofali la 1000 unapata tofali 100
Mtu akiomba laki 100,000 nitampa au nitanunua tofali.? Lazima ninunue tofali
Unaowasaidia hawawezi kukusaidia baadae, Baadae unakuwa peke yako hakuna Rafiki au NduguIla kaubahili mnako wakinga aisee sasa sijui tuseme ubahili au ndio nidhamu ya pesa lakini daah! Wakinga kwenye pesa matumizi yao magumu sana
Mpumbavu pekee ndo atachukia mada kama hizi. Kitu muhimu ni kuona kuwa mtoa mada analenga nini, lugha anayotumia n.k. Mtu hatukani kabila lingine, hatukani dini ya mtu, hana lugha yoyote mbaya ya kutweza ama kubagua wengine just anaridhisha nafsi yake na wale wanaokubali mada yake shida ipo wapi?Hizi mada za ukabila nazichukia kwelikweli naziona ni takataka kama kinyesi.Zinatusaidia nini sisi? Baadala ya kuongelea Taifa letu tunalikwamuaje sisi tunakazana na ukabila.Muafrika Mungu kamnyima akili na fikra ndoo maana yote haya yanatokea.
Mkuu nina nyumba small mkinga, ni mzuri balaa, ila siku akitaka kitu kwako utazimia.Huu mwezi October, Weka lengo kuwa January inabidi uwe na Milioni 2 kwa ajili ya kwenda Serengeti National Park
Hakika mtu akiomba huwezi kutoa pesa yako
Anza na lengo kwanza
Ukiwa na Lengo unakuwa mgumu sana
Wanapenda sn nguvu za gizaGUSSIE kuwa tajiri anayemiliki gorofa kubwa au msululu wa basi halafu huwezi kula chakula kizuri na kuvaa mavazi mazuri ni utumwa.
Labda Fred Vunjabei tu ndiye mkinga ninaye muona anaishi kama binadamu. Wengine wote wanaishi kama Fuko au panya buku. Wengi wamewaweka wazaz wao misukule kwenye vyumba vya Siri ndani ya biashara zao.
Na wakivunja masharti hufilisika immediately. Ukinga ni utumwa
Kwenye hilo la kusaidiana sina swali nimelishuhudia mwenyewe kwa macho ila la ubahili mpo mmetishaUnaowasaidia hawawezi kukusaidia baadae, Baadae unakuwa peke yako hakuna Rafiki au Ndugu
Jifunze kusema hapana ukiombwa Pesa
Sema hapana au sina Pesa, Weka malengo
Sisi wakinga tunasaidiana sana unaweza mleta dogo toka Makete aje kukusaidia kazi, Akizoea unampa mtaji ili nae amlete dogo mwingine ndio maisha yetu
Wakinga kwa wakinga tunasaidiana sana, Uliza story ya kila Mkinga anamshukuru Mwenzake
Makabila mengine hawasaidiani wanataka status
Wakinga tunasaidiana sana kwenye biashara zetu mkuu
Nyie ni washirikina sn
Kwenye hili hakuna kabila tanzania halina ushirikina hata kabila lako pia niwashirikina usiwe mnafiki.Nyie ni washirikina sn
Zile kafara za watoto huwa zinawaongezea utajiri au ni uongoo...!Mimi Gussie nimezaliwa kaskazini na watu wananijua ni wa huko, Mimi ni Mkinga kamili wa Ikonda. Nimekaa sana Nchini Rwanda pia
Anayesemwa sana na watu Mzee Mwakipande aliyekuwa anatoa utajiri alikuwa mjomba wangu na alikwishafariki zamani, Hivi sasa anayefanya kazi za uganga ni mtoto wa mjomba anaitwa Leonard Mwakipande ndiye alirithishwa kazi
Wanaokwenda huko si matajiri tu kama watu wanavyosimuliwa, Kuna watu wana matatizo tofauti ya magonjwa ya ushirikina
Na sio kila tajiri unayemuona akienda huko amefuata utajiri Wengine wamezaliwa huko na huko ni kwao kama mimi GUSSIE
Kama una swali lolote kuhusu huko kwa Mwakipande niulize nitakujibu kwa kadri mimi ninavyoishi na hao ndugu zangu
Mambo mengi yanayosemwa kuhusu sisi wakinga sio kweli, Na hata hizi habari za utajiri kuwa Binamu yangu Leonard Mwakipande anatoa utajiri sio kweli
Kaburi la mjomba ni kweli hakuzikwa kama kuzikwa bali amewekwa kwenye kitanda chake na amejengewa nyumba ndogo tu, Yeye haozi na aliomba asizikwe
Maisha ya huko kwetu kwa sasa yamebadilika sana, Zamani tulitembea kwa miguu toka Ikonda mpaka huko, Leo kuna pikipiki za kutosha
Kuhusu Mimi Gussie kupenda siasa na kufanya kama kitu cha ziada ilitokana na sababu zifuatazo:
Mosi, Wakati huo wazazi wangu wanafanya biashara wao hawakusoma sana na hii ni kwa wakinga wengi wenye biashara hapo kariakoo, Wazazi waliamua kukata shauri na kutupeleka shule watoto ili tujue kuwa wahasibu wao na washauri. Mawazo yao hayo sasa yamefanya wakinga wafanye biashara za kisasa kwa kuzingatia sheria za nchi na kutokulalamika
Kwa kuwa wazazi wetu wengi wa kikinga walikuwa na pesa lakini elimu ndogo kila wakati waliona mambo ya kodi na sheria zinawaonea, Lakini sasa wakinga baada ya sisi watoto kwenda shule mambo yamebadilika na tunashauri wazazi vizuri
Kupitia haya mambo ya kwenda TRA na kurudi, Kuhudhuria vikao vya biashara na wanasiasa yakanifanya na Mimi kwanini nisiingie huko ili kupenyeza agenda zetu wakinga
Pili, Niliumia kuona wakinga ambao wapo kwenye siasa na Wakututetea ni wachache sana, Hata Darasani watu kutoka ukinga tulikuwa kidogo sana, Leo hii hapo Udsm sisi wakinga tuna hata mkufunzi Mkinga haikuwa jambo rahisi
Mwisho sisi ni wamoja na wala huwezi sikia tunagombana ingawa tunagombana lakini mambo yetu tunayamaliza kindugu, Hatuna wivu wala chuki sisi na mtu
Nakaribisha maswali kuhusu wakinga, Uliza nitakujibu
Mpaka Leo Mimi nikisikia Mkinga mwezangu amenunua Gari jipya nitajitahidi ninunue kama gari lake, Wakinga tunaigana sana mambo yetu, Ukifika Njombe pale utashangaa unaweza kuta magari yote ya aina moja
Msitucheke wakinga na mambo yetu ya kuigana kwenye kununua vitu
Any Question? , I 'm here to reply about Kinga' s
Kwanini waitwe wachawi wao tu? inamaana wakinga wanamaendeleo sn kiasi kwamba tunawaonea wivu? hakuna loloteHii ni notion tu lakini kama anavosena Seneta kwenye hii maada ametufundisha mambo mengi, siri ya mafanikio ni kazi na malengo lakini pia nidhamu ya pesa, wakinga kwenye uchawi tunawaonea bure maana nimefanya biashara na wakinga hawa jamaa waaminifu sana na hawana dhuluma kwa watu wengine.
Nyie mmezidiKwenye hili hakuna kabila tanzania halina ushirikina hata kabila lako pia niwashirikina usiwe mnafiki.
Philip Mangula siyo Mkinga, Mangula ni Mbena.Wakinga wastaarabu sana.
Ona Mangula alovyopewa sumu, mzee wa watu akasamehe tu.
Twa kusisimka mkuu 😆😆,waambie chadema siasa sio kaziMimi Gussie nimezaliwa kaskazini na watu wananijua ni wa huko, Mimi ni Mkinga kamili wa Ikonda. Nimekaa sana Nchini Rwanda pia
Anayesemwa sana na watu Mzee Mwakipande aliyekuwa anatoa utajiri alikuwa mjomba wangu na alikwishafariki zamani, Hivi sasa anayefanya kazi za uganga ni mtoto wa mjomba anaitwa Leonard Mwakipande ndiye alirithishwa kazi
Wanaokwenda huko si matajiri tu kama watu wanavyosimuliwa, Kuna watu wana matatizo tofauti ya magonjwa ya ushirikina
Na sio kila tajiri unayemuona akienda huko amefuata utajiri Wengine wamezaliwa huko na huko ni kwao kama mimi GUSSIE
Kama una swali lolote kuhusu huko kwa Mwakipande niulize nitakujibu kwa kadri mimi ninavyoishi na hao ndugu zangu
Mambo mengi yanayosemwa kuhusu sisi wakinga sio kweli, Na hata hizi habari za utajiri kuwa Binamu yangu Leonard Mwakipande anatoa utajiri sio kweli
Kaburi la mjomba ni kweli hakuzikwa kama kuzikwa bali amewekwa kwenye kitanda chake na amejengewa nyumba ndogo tu, Yeye haozi na aliomba asizikwe
Maisha ya huko kwetu kwa sasa yamebadilika sana, Zamani tulitembea kwa miguu toka Ikonda mpaka huko, Leo kuna pikipiki za kutosha
Kuhusu Mimi Gussie kupenda siasa na kufanya kama kitu cha ziada ilitokana na sababu zifuatazo:
Mosi, Wakati huo wazazi wangu wanafanya biashara wao hawakusoma sana na hii ni kwa wakinga wengi wenye biashara hapo kariakoo, Wazazi waliamua kukata shauri na kutupeleka shule watoto ili tujue kuwa wahasibu wao na washauri. Mawazo yao hayo sasa yamefanya wakinga wafanye biashara za kisasa kwa kuzingatia sheria za nchi na kutokulalamika
Kwa kuwa wazazi wetu wengi wa kikinga walikuwa na pesa lakini elimu ndogo kila wakati waliona mambo ya kodi na sheria zinawaonea, Lakini sasa wakinga baada ya sisi watoto kwenda shule mambo yamebadilika na tunashauri wazazi vizuri
Kupitia haya mambo ya kwenda TRA na kurudi, Kuhudhuria vikao vya biashara na wanasiasa yakanifanya na Mimi kwanini nisiingie huko ili kupenyeza agenda zetu wakinga
Pili, Niliumia kuona wakinga ambao wapo kwenye siasa na Wakututetea ni wachache sana, Hata Darasani watu kutoka ukinga tulikuwa kidogo sana, Leo hii hapo Udsm sisi wakinga tuna hata mkufunzi Mkinga haikuwa jambo rahisi
Mwisho sisi ni wamoja na wala huwezi sikia tunagombana ingawa tunagombana lakini mambo yetu tunayamaliza kindugu, Hatuna wivu wala chuki sisi na mtu
Nakaribisha maswali kuhusu wakinga, Uliza nitakujibu
Mpaka Leo Mimi nikisikia Mkinga mwezangu amenunua Gari jipya nitajitahidi ninunue kama gari lake, Wakinga tunaigana sana mambo yetu, Ukifika Njombe pale utashangaa unaweza kuta magari yote ya aina moja
Msitucheke wakinga na mambo yetu ya kuigana kwenye kununua vitu
Any Question? , I 'm here to reply about Kinga' s
Mkuu kwa nini saizi tumeacha ibada zetu za asili hususani pale Ikonda Tulikuwa kila alhamisi ni siku ya ibada lakini saizi mbona hakuna.?Mimi Gussie nimezaliwa kaskazini na watu wananijua ni wa huko, Mimi ni Mkinga kamili wa Ikonda. Nimekaa sana Nchini Rwanda pia
Anayesemwa sana na watu Mzee Mwakipande aliyekuwa anatoa utajiri alikuwa mjomba wangu na alikwishafariki zamani, Hivi sasa anayefanya kazi za uganga ni mtoto wa mjomba anaitwa Leonard Mwakipande ndiye alirithishwa kazi
Wanaokwenda huko si matajiri tu kama watu wanavyosimuliwa, Kuna watu wana matatizo tofauti ya magonjwa ya ushirikina
Na sio kila tajiri unayemuona akienda huko amefuata utajiri Wengine wamezaliwa huko na huko ni kwao kama mimi GUSSIE
Kama una swali lolote kuhusu huko kwa Mwakipande niulize nitakujibu kwa kadri mimi ninavyoishi na hao ndugu zangu
Mambo mengi yanayosemwa kuhusu sisi wakinga sio kweli, Na hata hizi habari za utajiri kuwa Binamu yangu Leonard Mwakipande anatoa utajiri sio kweli
Kaburi la mjomba ni kweli hakuzikwa kama kuzikwa bali amewekwa kwenye kitanda chake na amejengewa nyumba ndogo tu, Yeye haozi na aliomba asizikwe
Maisha ya huko kwetu kwa sasa yamebadilika sana, Zamani tulitembea kwa miguu toka Ikonda mpaka huko, Leo kuna pikipiki za kutosha
Kuhusu Mimi Gussie kupenda siasa na kufanya kama kitu cha ziada ilitokana na sababu zifuatazo:
Mosi, Wakati huo wazazi wangu wanafanya biashara wao hawakusoma sana na hii ni kwa wakinga wengi wenye biashara hapo kariakoo, Wazazi waliamua kukata shauri na kutupeleka shule watoto ili tujue kuwa wahasibu wao na washauri. Mawazo yao hayo sasa yamefanya wakinga wafanye biashara za kisasa kwa kuzingatia sheria za nchi na kutokulalamika
Kwa kuwa wazazi wetu wengi wa kikinga walikuwa na pesa lakini elimu ndogo kila wakati waliona mambo ya kodi na sheria zinawaonea, Lakini sasa wakinga baada ya sisi watoto kwenda shule mambo yamebadilika na tunashauri wazazi vizuri
Kupitia haya mambo ya kwenda TRA na kurudi, Kuhudhuria vikao vya biashara na wanasiasa yakanifanya na Mimi kwanini nisiingie huko ili kupenyeza agenda zetu wakinga
Pili, Niliumia kuona wakinga ambao wapo kwenye siasa na Wakututetea ni wachache sana, Hata Darasani watu kutoka ukinga tulikuwa kidogo sana, Leo hii hapo Udsm sisi wakinga tuna hata mkufunzi Mkinga haikuwa jambo rahisi
Mwisho sisi ni wamoja na wala huwezi sikia tunagombana ingawa tunagombana lakini mambo yetu tunayamaliza kindugu, Hatuna wivu wala chuki sisi na mtu
Nakaribisha maswali kuhusu wakinga, Uliza nitakujibu
Mpaka Leo Mimi nikisikia Mkinga mwezangu amenunua Gari jipya nitajitahidi ninunue kama gari lake, Wakinga tunaigana sana mambo yetu, Ukifika Njombe pale utashangaa unaweza kuta magari yote ya aina moja
Msitucheke wakinga na mambo yetu ya kuigana kwenye kununua vitu
Any Question? , I 'm here to reply about Kinga' s
Ila ni kazi kwa ccm siyo?Twa kusisimka mkuu [emoji38][emoji38],waambie chadema siasa sio kazi
Bado suala la kafara za binadamu kwenye utajiri wa wakinga ni kubwa sana, bado wakinga wana safari ndefu ya kupata utajiri wa kutumia akili na sio ndagu. Wachagga wapo mbele sana kwa hilo.Mkuu, Ni kweli ule ni ushamba tu wa wazee wetu wa zamani
Kizazi cha wakinga kama Fred Vunja Bei ni kizazi kipya kilichoenda shule na kuwa na exposure
Nenda Leo pale Kariakoo vijana wa Kikinga wapo smart sana na wanakula pamba vizuri
Kama nilivyosema hapo awali wazazi wetu hawakwenda shule, Shule inasaidia pia mtu kuwa mstaarabu sana
Leo hii kuna mabadiliko makubwa sana kwa sisi wakinga