Ni wanaume wangapi tunajali usafi?

Ni wanaume wangapi tunajali usafi?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi ulivyotaja hapa walio navyo hawazidi 20.

Sabuni tu za kuongea wanatumia B29 za sh 300 zile tunaosheaga vyombo.

Povu...karibu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Je mwanaume wanao oga mara moja nayo je?
 
Tunaogea sabuni yoyote itayokatiza mbele..hata omo au puff
Hivi ulivyotaja hapa walio navyo hawazidi 20.

Sabuni tu za kuongea wanatumia B29 za sh 300 zile tunaosheaga vyombo.

Povu...karibu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom