pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 6,296
- 6,692
Mkuu yote hiyo ya nini?Anaenda barbershop zaidi ya mara mbili kwa mwezi si unajua bei za barbershop za town kuna mambo mengi mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu yote hiyo ya nini?Anaenda barbershop zaidi ya mara mbili kwa mwezi si unajua bei za barbershop za town kuna mambo mengi mengi
Huwezi jua labda nataka niwe nakununulia kila baada ya mda fulaniMdogo wangu naona unanichimba
[emoji23] [emoji23]Huyu mleta mada naona ameamua kunianzishia thread haki...... Maana sio meno haya yalivyo ya njano....tehteehh
Endelea kukariri tu hivyo hivyoMwanume una boksa zaidi ya tano seriously??? unataka kuwa video queen au?
Unaonaje kila baada ya muda fulani uwe unanipa hela najinunuliaHuwezi jua labda nataka niwe nakununulia kila baada ya mda fulani
Kweli nina sifuri mkuu lakini hayo matunzo gani ya nywele unafuga rasta ama? Una nyoa safi tu hizo mbwembwe zote za niniSijazungumzia kuhusu kunyoa,ni kuhusu kutunza nyweli ndio maana ulipata dv 0[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Utakuwa umezoea kunyoa kipara kama umefiwa ndio maana unashangaaHuyu inabidi tumtengebezee hoja kwa kweli
Hizo zote ni optionsUnaonaje kila baada ya muda fulani uwe unanipa hela najinunulia
Nywele zinamaliza sabuni bhnUtakuwa umezoea kunyoa kipara kama umefiwa ndio maana unashangaa
Mimi sio mwanaume wa DAR lakini nazingatia usafiNadhani huu uzi ni kwaajili ya wanaume wenzako wa Dar.
Wanaume wenzangu wa mkoani tunashuhudia huu mpambano wenu.
Hizo zote ni options
MimiMkuu unaniuliza Mimi ama?
Sio kila mtu akinyoa anapendezaKweli nina sifuri mkuu lakini hayo matunzo gani ya nywele unafuga rasta ama? Una nyoa safi tu hizo mbwembwe zote za nini
[emoji23] [emoji23]Nywele zinamaliza sabuni bhn
Ngoja nijaribu kukagua kwenye sifa za wanaume wa mkoani kama unafit.Ee fanya hivyo mdogo wangu
Hivi ulivyotaja hapa walio navyo hawazidi 20.
Sabuni tu za kuongea wanatumia B29 za sh 300 zile tunaosheaga vyombo.
Povu...karibu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hivi ulivyotaja hapa walio navyo hawazidi 20.
Sabuni tu za kuongea wanatumia B29 za sh 300 zile tunaosheaga vyombo.
Povu...karibu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]