Wa kwako anazo boxers ngapi?? na yeye anarudia nguo za ndani?Mi binafsi naona mwanaume ni bora awe na boxer nyingi,soksi nyingi na vest nyingi plus viatuka sivyo majangaaaa coz wanaume ni wachafu saana kwenye nguo za ndani 80% wanarudiaga nguo za ndani so its better awe na nguo za ndani nyingi
HahaaaWanaogea mpaka Omo tena zile zakufunga [emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji818] [emoji736] kwanguo za duu mtihani na siku wanavyo vyaa kata k, jamani jamani hizo boxer ni mara mia dekio langu la nyumbani
Utakuwa mzoa taka mtaani huitaji perfumePafyumu ya nini? Utakuwa kwapa lako linatema sana wewe.
Wengine shughuli zao haziitaji mambo ya marashi marashi.
Mimi mwanaume.wangu akitumia elfu 30 kwenye nywele kwa mwezi nampiga chini atakua mwendawazimu
Wa mkoani[emoji23]KAUZE MITUMA YA SIMU ACHANA NA SISI AISEE
WE NI MWANAUME WA DAR
Hahaaaa!jitahudi Mr wako mnunulie
Ndio madhara yakusoma kwa kukaririHayo yote uliyoyataja yanaweza kufanywa na vibenten tu na kina James Delicious
Sijazungumzia wanawake wa nyegezi hapa[emoji23]Mimi mwanaume.wangu akitumia elfu 30 kwenye nywele kwa mwezi nampiga chini atakua mwendawazimu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila kwenye mashuka wanaume jamani
Yaoneeni huruma
Ndiyo maana nimeuliza je nao ni uchafu?Kwani sheria za nchi zinakataza?
SA UKAMUACHAJE?Aisee nilikuwaga na x mmoja hivi, kwa Usafi nampa shikamoo. Anatumia sabuni clasic, zile body wash/ liquid soap, kichwani shampoo nzuri zinanukia 😁 sio haya ma sabuni ya vipande
Zinawasha hizo mwilini!Hahaaa
Utasikia sabuni ya vipande inatoa m'ba!pumbavu[emoji23]Aisee nilikuwaga na x mmoja hivi, kwa Usafi nampa shikamoo. Anatumia sabuni clasic, zile body wash/ liquid soap, kichwani shampoo nzuri zinanukia [emoji16] sio haya ma sabuni ya vipande
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125][emoji40] [emoji40] [emoji40] utazani samaki wa juzi
Tena sanaNdiyo maana nimeuliza je nao ni uchafu?
Haaaa haaaa chumbani unaweza fikiri ni kanyagio la mlangoni kumbe shuka yakujifunika mtuIla kwenye mashuka wanaume jamani
Yaoneeni huruma