Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,074
- Thread starter
- #21
HaahaaaBora mwanaume mfupi awe mchafu hatishi sana kuliko matolu....[emoji16][emoji16](kidding)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaahaaaBora mwanaume mfupi awe mchafu hatishi sana kuliko matolu....[emoji16][emoji16](kidding)
Sio kweliMaajabu ni kwamba Mwanaume ukiwa msafi au unajipenda sana wengine wanakuita Shoga.
Hahaaaa!jitahudi Mr wako mnunulieHivi ulivyotaja hapa walio navyo hawazidi 20.
Sabuni tu za kuongea wanatumia B29 za sh 300 zile tunaosheaga vyombo.
Povu...karibu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi nina allergy na hizo body sprays na perfumes, sizitumii na sinuki majasho. Bado mnaniita mchafu? Sio haki aseeUchafu wako niteseke Mimi
Nimewehuka!!
Aisee wakati buku mbili au tatu unanyoa safi tu yeye hiyo 30000 yote ya nini?nywele mwanaume unagharamia 30000 kwa mwezi
Makonda njoo chukua list yako ipo huku
Unukie ufatwe na nyukiDuuh mimi pamoja na kuwa mwanamke mbona kuna mengine yananihusu..perfume tatu? What for?
Mimi hata moja sinaDuuh mimi pamoja na kuwa mwanamke mbona kuna mengine yananihusu..perfume tatu? What for?
Sasa si ulisema mwenyewe namimi nikakaziaMimi nina allergy na hizo body sprays na perfumes, sizitumii na sinuki majasho. Bado mnaniita mchafu? Sio haki asee
Well said,boksa inavaliwa mwezi mzima[emoji23]Mi binafsi naona mwanaume ni bora awe na boxer nyingi,soksi nyingi na vest nyingi plus viatuka sivyo majangaaaa coz wanaume ni wachafu saana kwenye nguo za ndani 80% wanarudiaga nguo za ndani so its better awe na nguo za ndani nyingi
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa si ulisema mwenyewe namimi nikakazia
Utateseka sana[emoji23] [emoji23]Duh yani hata nisipokuwa na perfume mimi ni mchafu?
Basi mimi mchafu.
Umefurahi mdogo angu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapo sasa hakuna atakae taka kuonekana ni mchafu! wote wasafi
Well said,boksa inavaliwa mwezi mzima[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] utateseka sanaMwanaume awe na boxer nyingi za nini? Kwani ana bleed. Mwanaume boxer mbili tu. Moja ikiwa kambani inakauka nyingine iko mwilini. [emoji664]
Unukie ufatwe na nyuki
Nina furaha siku zote mda woteUmefurahi mdogo angu