Ni wapi naweza kupata nyama safi ya Kitimoto for the weekend hapa Dar

Ni wapi naweza kupata nyama safi ya Kitimoto for the weekend hapa Dar

Naombeni kwa wale wazoefu mnijuze, ni wapi naweza pata nyama safi ya mdudu kwa ajili ya kuuburudisha mwili na roho yangu for the weekend, nimechoka sana na kazi zimenibana sana nahitaji mdudu nile nitulie hadi jumatatu.

Asanteni sana kwa wale mtakaonijuza na kwa wale mtakaokasirika nawakaribisha pia ila muache wivu

Bahati mbaya hakuna nyama safi ya kitimoto..!! Misahafu inakataza sana kula kitimoto. Kwa hiyo kitimoto ni haramu kuliwa na waja wa Allah. Ukisoma maandiko ya Allah kwenye Biblia kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7 imekatazwa sana kula na hata kugusa mzoga wa kitimoto, tena inafanza maradhi ya kifafa.
 
Mkuu! Sasa hivi hatupo tena chini ya sheria! The blood of jesus flee us from laws! We are now free! Usikariri!

Kwahiyo blood of jesus flee u from everthing hata wabakaji wauaji makafili mashoga etc etc....du mkuu mbona sarakasi and by the way why tunaenda church tunafanya ibada etc wakati yesu amekufa kwa ajili ya dhambi zenu???? kahtaan
 
Last edited by a moderator:
Nenda makumbusho break point, panama pub kinondoni studio ktk mataa, jakaranda pub kinondoni,bamboo pub kinondoni makaburini,Nenda kwa ustadhi lyimo nyuma ya msikiti wa Bakwata kinondoni.
 
hahahaaaaaa sidanganyiki ile kitu tamu sana
Bahati mbaya hakuna nyama safi ya kitimoto..!! Misahafu inakataza sana kula kitimoto. Kwa hiyo kitimoto ni haramu kuliwa na waja wa Allah. Ukisoma maandiko ya Allah kwenye Biblia kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7 imekatazwa sana kula na hata kugusa mzoga wa kitimoto, tena inafanza maradhi ya kifafa.
 
Kwahiyo blood of jesus flee u from everthing hata wabakaji wauaji makafili mashoga etc etc....du mkuu mbona sarakasi and by the way why tunaenda church tunafanya ibada etc wakati yesu amekufa kwa ajili ya dhambi zenu???? kahtaan

Teh teh teh teh!
Mkuu tuseme haleluyah!

Bwana kajiua msalabani ili sisi tupone!
Duhh! Hii kali.
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo blood of jesus flee u from everthing hata wabakaji wauaji makafili mashoga etc etc....du mkuu mbona sarakasi and by the way why tunaenda church tunafanya ibada etc wakati yesu amekufa kwa ajili ya dhambi zenu???? kahtaan
mkuu umevamia uzi usiokuhusu, sio lazima uchangie kila uzi.
 
Kwa wanaotaka ya pori kwa bei ya jumla inaweza kuni PM.
 
umenena,hivi allah ni nani hadi awe na authority kwenye mambo ya kitimoto mbona kwenye bible hajatajwa, au walimsahau

Kijana, ukiwa unauliza swali. Wacha tabia ya kushawishi na JAWABU! la si hivyo utakufa bila kuelimishwa.

The Word "ALLAH" SIO NENO LENYE ASILI YA KISWAHILI!

ALLAH NI NENO LA KIARABU!

Mfano .

Neno "GOD"! Huwezi kwenda kwenye Quraan au Biblia ya KISWAHILI na UKALIKUTA!

Sasa hebu Angalie BIBLIA YA KIARABU! JE! Neno "ALLAH" Limo??

Ukilikosa ! NA mimi UTANIBATIZA Bila Maji!
 
Naona umeamua kufuga Kitambi.... Balaa hilo
 
Yeethu na Maria... Hapa Marangu ipo kila nyumba kilo shing 3000/- na kitarasa ya kurost. Kiruuu weka na mbeKe kdogo apo. Ni noma aisee
 
Halafu kipindi cha mfungo wa ramadhani ktmoto inadoda walaji hamna hapa ndio huwa nakosa imani mpaka basi
 
Halafu kipindi cha mfungo wa ramadhani ktmoto inadoda walaji hamna hapa ndio huwa nakosa imani mpaka basi

Na wakati wagalatia wanapokwenda kula Christmas Makwao WIZI NA UJAMBAZI UNAPUNGUA SANA MIJINI!
 
Back
Top Bottom