Kati ya hayo majiji uliyotaja nshafika manne. AlhamdulillahNinashukuru nimeshatembelea jiji kama Pattaya na Bangkok. Bangkok become s the most visited cities in 2019. In future ningependa kutembelea phonom phen city in Cambodia, Network city USA, Los Angeles city USA, Shanghai and Guangzhou in china and Mumbai in India Johannesburg city South Africa, Kinshasa DRC , Lubumbashi DRC, Kampala Uganda, etc
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenitupaaaaaa
Kati ya hayo majiji uliyotaja nshafika manne. Alhamdulillah
Kwa kweli sina cha kujitetea, kila nikisema nitaazima hata simu nikutafute najikuta yameibuka mambo mengine, nisamehe bureUmenitupaaaaaa
nimeamua kumpa miaka minne ya kujitafakari..... talaka inaumiza
Umenichoka eenhnitakupeleka Congo ukapambane na madini ya kagame
Sawa kila la herinimeamua kumpa miaka minne ya kujitafakari..... talaka inaumiza
Mie natamani kutembelea mikoa yote ya tanzania na hadi sasa nimetembelea baadhi tu ambapo Songea badoYou wish to go there? Welcome...
komesha korona
wala sijachoshwa na matendo yako.....wanawake mukiwezeshwa munaweza.....twende tukatafute madini maeneo ya Gomaa....Umenichoka eenh
usichoke kuniombea dua kama nifanya kwa ajili yako...
Nakubali. Nasubiri.Ngoja nkuletee kubwa lao sasa
Nakuangalia tuKwa kweli sina cha kujitetea, kila nikisema nitaazima hata simu nikutafute najikuta yameibuka mambo mengine, nisamehe bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mzima. Ngoja niwape fursa
Hazitoshi[emoji16][emoji16]Pointi ni zile zile kama za kaka sumbai