Ni wapi ungependa kuzuru endapo ukiwa na pesa na muda wa kutosha?

Ni wapi ungependa kuzuru endapo ukiwa na pesa na muda wa kutosha?

😁😁😁

Mkuu samahani kwa usumbufu, hicho kisiwa kimejengwa kabisa? Mahoteli, Mitaa au ni sehemu ya relaxing na kuondoka?
kumejengwa facilities zote muhimu kwa kula raha ,wanakupokea Dar airpot na chopper yao hadi kisiwani au Mafia na boat hadi kisiwani kwao
 
kumejengwa facilities zote muhimu kwa kula raha ,wanakupokea Dar airpot na chopper yao hadi kisiwani au Mafia na boat hadi kisiwani kwao
Aisee ngoja nitafute pesa nije kushuhudia kabla ya kununua kisiwa changu.
 
Back
Top Bottom