Ni wasanii wapi wa muziki unaowajua wanalazimisha fani?

Wew humjui Peter Msechu kijana wa Kabanga Kasulu kigoma
 
1, Gigy money hajui anatuonyesha jinsi ya kutikisa makalio
2, Harmorappa comedian
3, shilole aibu tuu anafanya
4,snura hawajatofatiana na shilole Sana'a waanzishe madarasa ya kufundisha unyago
5,Abdukiba, jina la kaka linamueka mjini
6,Queen Darling ,jina la kaka linampa fursa
7,Ney wa mitego , hiphop michambo
8, luludiva simwelewi
9, Nuh mziwanda
10, chege na tunda man ,,sauti zinakwaruza tuu sema ujumbe wa nyimbo zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…