Kwani una hofu, anza kabisa kujaza form ukae standby chanjo itawasili karibuni...Mimi nataka chanjo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani una hofu, anza kabisa kujaza form ukae standby chanjo itawasili karibuni...Mimi nataka chanjo sana
Napata mashaka sana na namna unavyotafsiri neno uzalendo, i respect your opinion thoughVibaraka ndo mtachoma, wazalendo tulisha malizana na corona kitambo sana.
Mkuu bado tu unatumia lugha hizo ?!! 🤣Vibaraka ndo mtachoma, wazalendo tulisha malizana na corona kitambo sana.
Mkuu una uhakika gani wa kisayansi kuwa CHANJO itakuwa "failure" mwilini mwangu ?🤣Utaishia kupata vaccination failures, korona ikipita inatambaa tu kama inanawa.....
Awesome 👊👍👍Hiyo ya majority kutotaka chanjo, huo utafiti ulifanyia wapi? Mimi binafsi sina shida na chanjo. Sijawahi kukosa chanjo yoyote, nina sababu gani ya kuikataa hii ya sasa?
Kazini pangu, kila mmoja anazungumzia kuwa tayari kuchanjwa, sidhani kama yupo hata mmoja ambaye hataki.
Kwanza chanjo haziwezi kutosha kwa watu wote, itakuwa kwa awamu. Kama watakuwepo wasiotaka itakuwa ahueni kwa tunaotaka na kwa Serikali. Hao wasiotaka watakuja kupewa mwishoni kabisa, ikiwezekana hata mwakani, kwa wale ambao watakuwa hai.
Swadakta.....👊👍Mimi nataka chanjo sana
Wewe mboga saba hata bila chanjo unaweza ku survive, nilikuwa naongelea hao unaoema pasi ndefu wa kwa mtogole..Mkuu una uhakika gani wa kisayansi kuwa CHANJO itakuwa "failure" mwilini mwangu ?🤣
Neno "uzalendo" "mzalendo" limekuwa rahisi sana....rahisi sana kutolewa mdomoni na maandishini na yeyote dhidi ya yeyote....kiufupi limekuwa likitumiwa KUFURAHISHA NAFSI ZA WANAOLITOA/TAMKA....Napata mashaka sana na namna unavyotafsiri neno uzalendo, i respect uour opinion though
Mkuu mimi si wa mboga 7 mapokopoko manjari draft....Wewe mboga saba hata bila chanjo unaweza ku survive, nilikuwa naongelea hao unaoema pasi ndefu wa kwa mtogole..
👍Usiwasemee watu, subiri chanjo zifike halafu tutashuhudia kwa macho na tutajua uhalisia wa mioyo ya watanzania. Ni mapema sana kuanza kusema chochote kuhusuuhitaji wa hii chanjo ila ninachojua watu wengi watachoma chanjo, ni suala la muda tu
Askari wetu walio mstari wa mbele kutupatia HUDUMA ZA AFYA;
1) Manesi(nurses)
2) Madaktari (Doctors)
3) Wataalam wa maabara
4) Wataalam wa mionzi ,mashine za hospitali
5) Makatibu wa hospitali
6) Wahasibu wa hospitali
7) Watoa ushauri nasaha
8) Wataalamu wa viungo cheza
9) Wafamasia
10) Wahifadhi maiti
11) Wahudumu (nurses attendants)
12) Wahudumu wa usafi hospitalini
13) Wafanyakazi wa BANK za malipo zilizopo ndani ya Hospitali
14) Walinzi wakiwemo maaskari wa SUMA JKT/magrupu ya Ulinzi
WOTE HAWA NI LAZIMA WACHANJWE..
Upande wetu RAIA ,mathalani binafsi nitakuwa wa mwanzomwanzo kuitikia wito wa KUCHANJWA CHANJO HIYO DHIDI YA CORONA.
Hapa nimeshaanza kuliandaa bega langu kwa ajili ya hizo SINDANO....💪
#TuchanjweNduguZangu
#TuwalindeWengine
#NchiKwanza
#ChanjoNiMuhimu
#KaziIendelee
Hivi kuamini sayansi ni kupi ni kukubali kila unachoambiwa ilimradi kimehuaiahwa na sayansi au ni vp? maana sielewi hii kauli, hao unaosema hawaamini sayansi ndio hao hao wanatibiwa hospitali endapo wakiumwa na hospitali wanatumia sayansi. Wengine wanadharau matunda na kuita uganga wa kienyeji ila jawajui kuwa sayansi hiyo hiyo ndio inatuambia faida zilizopo kwenye hayo matunda(kama malimao vitunguu tangawizi) na madhara yake, ila mtu anaona kula hayo matunda ni kinyume na sayansi na ni sawa na matunguri.Hii inaonyesha nchi yetu bado ni masikini. Hata sehemu ambazo chanjo ni bure Mfano USA majimbo masikini kuliko yote ndiyo wamepiga chanjo wachache maana elimu ni ndogo kwa watu. Masikini ndiyo wakwanza kuamini uvumi na uongo na hawaamini sayansi. Hiki ni kipimo kizuri kujua mtu au watu wako kundi lipi. Na kama unasema hamna watu unathibitisha kabisa umezungukwa na hao walala hoi. Kule Uninio najua mimi wazee karibu wote wanasubiri chanjo! kuna watu kibao wengine mpaka waandishi wa habari na wanasiasa wanaenda nje kupata chanjo
Nimesikia baadhi ya viongozi na watendaji wa serikali wakisema kuwa Watanzania wanasubiri chanjo ili nao waungane na dunia katika mapambano dhidi ya Corona, Leo ningependa kujua hao Watanzania wanaohitaji chanjo wanapatikana wapi?
Maana ukweli ni kuwa majority wameonesha kutotaka chanjo, au sikuhizi mambo yanakwenda kinyume?
Viongozi wetu mkikosea kwenye hili mtakuja kujuta sana, huu uzi utakuwa shahidi siku hizo.
Naunga mkono hoja....Mimi, familia yangu na ndugu na jamaa zetu wa karibu tuko kama mtu 20 kama wave 3 itatunusuru hadi chanjo kufika tutakuwa batch ya mwanzo kabisa.
Burdani tosha Nchi hii😆🤣
Kuna watu wengi wanapata infection bila kuonyesha dalili, lakini hawajachoma hizo takataka...
Kwani kung'atwa na mbu ndio kupata ugonjwa wa malaria?!!
Mkuu wangu unadhani sote tuna KINGA madhubuti dhidi ya magonjwa ya milipuko ?!!
Kwa hizi chumi zetu za kupitisha mchana kwa pasi ndefu...kahawa vikombe 3 na kashata ili vitoto vyetu viende SKONGA.....
Kwa hizi tamaduni zetu huku uswazi ambako mboga za majani na matunda ni mwiko na anasa ?!!
Mkuu ni bora tu tuchanjwe halafu ukija kutuchapa basi hatua stahiki zitakuwa zimeshachukuliwa.....
mbn naww umewasemea watuUsiwasemee watu, subiri chanjo zifike halafu tutashuhudia kwa macho na tutajua uhalisia wa mioyo ya watanzania. Ni mapema sana kuanza kusema chochote kuhusuuhitaji wa hii chanjo ila ninachojua watu wengi watachoma chanjo, ni suala la muda tu
hata ww unaweza ukafa vile vileHiyo ya majority kutotaka chanjo, huo utafiti ulifanyia wapi? Mimi binafsi sina shida na chanjo. Sijawahi kukosa chanjo yoyote, nina sababu gani ya kuikataa hii ya sasa?
Kazini pangu, kila mmoja anazungumzia kuwa tayari kuchanjwa, sidhani kama yupo hata mmoja ambaye hataki.
Kwanza chanjo haziwezi kutosha kwa watu wote, itakuwa kwa awamu. Kama watakuwepo wasiotaka itakuwa ahueni kwa tunaotaka na kwa Serikali. Hao wasiotaka watakuja kupewa mwishoni kabisa, ikiwezekana hata mwakani, kwa wale ambao watakuwa hai.
Mkuu hi ndio valid certificate?Si lazima lakiniView attachment 1853897
Taifa linahitaji raia wenye afya njema, kukubali kuchanjwa ni tendo la kizalendo ingawa hulazimishwi.Vibaraka ndo mtachoma, wazalendo tulisha malizana na corona kitambo sana.