Naunga mkono hoja....
Nami pia kaka!
Bwana Jumbe Brown waonaje mgawanyo huu?
Labda niongezee, kwa walio wazalendo wana mtazamo kama huu:
Mzee Warioba: Corona, Katiba na Miito ya Busara
Utu uzima dawa, na ya kale ni dhahabu. Mzee Warioba ni mtu wa kuonwa kwa ushauri (consultation) na wote wenye nia njema na nchi hii na hasa wale walio wazalendo. Hii ni kwa wote tokea serikalini na hata wanaopambania kupatikana katiba mpya. Mzee Warioba yuko wazi kuhusu umuhimu na udharura...