#COVID19 Ni Watanzania gani wanaohitaji chanjo?

Vibaraka ndo mtachoma, wazalendo tulisha malizana na corona kitambo sana.
Mkuu bado tu unatumia lugha hizo ?!! 🤣

Kibaraka kwenye ugonjwa ?!! 😲

Mkuu muda huu utakuwa huna ndugu/jamaa/rafiki/jirani aliyeko katika mashine ya oksijeni....

Mkuu ama unakumbatia CONSPIRACY THEORIES?!!🤣
 
Awesome 👊👍👍
 
Mkuu una uhakika gani wa kisayansi kuwa CHANJO itakuwa "failure" mwilini mwangu ?🤣
Wewe mboga saba hata bila chanjo unaweza ku survive, nilikuwa naongelea hao unaoema pasi ndefu wa kwa mtogole..
 
Napata mashaka sana na namna unavyotafsiri neno uzalendo, i respect uour opinion though
Neno "uzalendo" "mzalendo" limekuwa rahisi sana....rahisi sana kutolewa mdomoni na maandishini na yeyote dhidi ya yeyote....kiufupi limekuwa likitumiwa KUFURAHISHA NAFSI ZA WANAOLITOA/TAMKA....
 
Wewe mboga saba hata bila chanjo unaweza ku survive, nilikuwa naongelea hao unaoema pasi ndefu wa kwa mtogole..
Mkuu mimi si wa mboga 7 mapokopoko manjari draft....

Ninawaongelea kwa kuwawakilisha wenzangu ninaosebenza nao kitaa....
 
Usiwasemee watu, subiri chanjo zifike halafu tutashuhudia kwa macho na tutajua uhalisia wa mioyo ya watanzania. Ni mapema sana kuanza kusema chochote kuhusuuhitaji wa hii chanjo ila ninachojua watu wengi watachoma chanjo, ni suala la muda tu
👍
 

Mimi, familia yangu na ndugu na jamaa zetu wa karibu tuko kama mtu 20 kama wave 3 itatunusuru hadi chanjo kufika tutakuwa batch ya mwanzo kabisa.
 
Hivi kuamini sayansi ni kupi ni kukubali kila unachoambiwa ilimradi kimehuaiahwa na sayansi au ni vp? maana sielewi hii kauli, hao unaosema hawaamini sayansi ndio hao hao wanatibiwa hospitali endapo wakiumwa na hospitali wanatumia sayansi. Wengine wanadharau matunda na kuita uganga wa kienyeji ila jawajui kuwa sayansi hiyo hiyo ndio inatuambia faida zilizopo kwenye hayo matunda(kama malimao vitunguu tangawizi) na madhara yake, ila mtu anaona kula hayo matunda ni kinyume na sayansi na ni sawa na matunguri.

Wengine humu unakuta hata matumizi sahihi ya barakoa hayajui ila nae anavaa tu na kupoga kelele humu ili tu asionekane mjinga asiyeelimika kama sie wengine, hata hawa wanaotaka chanjo si kwamba wanauelewa wengine hawana uelewa wotewote ni kufuata mkumbo tu nae aonekane anaamini sayansi.
 
 
Elimu ya huu ugonjwa bongo imerubuniwa sana, wengi wanaamini kuwa wana taarifa kamili lakini wakifungua kimywa utashangaa na ukimuuliza umepata wapi hizo taarifa mara nyingi jibu ni "nimeambiwa na furani"au "nimeskia",hapo bado hawajaongezea mambo ya 'new world order',yaani wengi hawana taarifa kutoka kwa wataalamu wa afya,yaani wenye fani za utabibu.
Ni vizuri chanjo zitatolewa kwa hiyari sio lazima,lakini kumbukeni watanzania asilimia kubwa washapata hizi chanjo,hasa wanaoishi nje na baadhi bongo.asilimia kubwa nchi nyingi ulimwenguni zimechanya,ivo watz mna mamillioni ya data ambazo mnaweza kutumia kama ushahidi kufuatilia mwenendo wa chanjo.Chanjo yoyote itakayoletwa bongo,tayari ishatumika kwa mamilioni ya binadamu wengine,tena wa kila rangi.
We are not that special,tuseme chanjo zisaidie wengine sisi zitudhuru! Inabidi tufikirie vizuri.
 
Kuna watu wengi wanapata infection bila kuonyesha dalili, lakini hawajachoma hizo takataka...
Usiwasemee watu, subiri chanjo zifike halafu tutashuhudia kwa macho na tutajua uhalisia wa mioyo ya watanzania. Ni mapema sana kuanza kusema chochote kuhusuuhitaji wa hii chanjo ila ninachojua watu wengi watachoma chanjo, ni suala la muda tu
mbn naww umewasemea watu
 
hata ww unaweza ukafa vile vile
 
Vibaraka ndo mtachoma, wazalendo tulisha malizana na corona kitambo sana.
Taifa linahitaji raia wenye afya njema, kukubali kuchanjwa ni tendo la kizalendo ingawa hulazimishwi.
Mi binafsi sikubali mtu anipangie cha kufanya.
Chanjo na ije nichanjwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…