Naunga mkono hoja....
Nami pia kaka!
Mkuu wangu.....Bwana Jumbe Brown waonaje mgawanyo huu?
View attachment 1854340
Labda niongezee, kwa walio wazalendo wana mtazamo kama huu:
Mzee Warioba: Corona, Katiba na Miito ya Busara
Utu uzima dawa, na ya kale ni dhahabu. Mzee Warioba ni mtu wa kuonwa kwa ushauri (consultation) na wote wenye nia njema na nchi hii na hasa wale walio wazalendo. Hii ni kwa wote tokea serikalini na hata wanaopambania kupatikana katiba mpya. Mzee Warioba yuko wazi kuhusu umuhimu na udharura...www.jamiiforums.com
Umelazimishwa wewe mpuuzi na wakati umeambiwa chanjo ni hiari?Nimesikia baadhi ya viongozi na watendaji wa serikali wakisema kuwa Watanzania wanasubiri chanjo ili nao waungane na dunia katika mapambano dhidi ya Corona, Leo ningependa kujua hao Watanzania wanaohitaji chanjo wanapatikana wapi?
Maana ukweli ni kuwa majority wameonesha kutotaka chanjo, au sikuhizi mambo yanakwenda kinyume?
Viongozi wetu mkikosea kwenye hili mtakuja kujuta sana, huu uzi utakuwa shahidi siku hizo.
Ni mwehu yuleMleta mada ni msabato. Hapo inategemea kama kanisa lake litamruhusu, likikataa ataipinga chanjo mpaka mwisho.
Mambo ya Ellen G. White hayo
Mzee wa sweken huyoUsitusemee..mimi na mke wangu tunahitaji chanjo. Wewe ambae hauna hata ramani ya kwenda huko duniani kaa chini kwa kutulia..wewe ambae haujawahi kupoteza mtu wala kuumwa corona kaa kimya ila ambao tunahitaji chanjo tupo
Duuuh kwa hiyo CHANJO dhidi ya magonjwa inapelekwa "kiimani" 😲Mleta mada ni msabato. Hapo inategemea kama kanisa lake litamruhusu, likikataa ataipinga chanjo mpaka mwisho.
Mambo ya Ellen G. White hayo
Hiyo fomu mimi nilisaini na nimechanja dozi zote 2, na nipo poaa kabisa! Hawa wafuasi wa kinjeketile wasikutisheSawa mkuu....
Nitatoka huku kwa Mkunduge kuja kuisaini hiyo fomu mkuu wangu....
Niko radhi na tayari kusaini mkuu wangu....masela wangu Zwande ,Bozu ,Ally Meza na Philimon Chenje nao wamekubali kuchomwa hizo chanjo....nitakuja nao mkuu wangu!!
Sasa hivi mleta mada yuko kwenye makambi huko ya Kisabasato, wanaambizana Chanjo ya Corona ndio alama ya mnyama a.ka 666 🤣🤣Duuuh kwa hiyo CHANJO dhidi ya magonjwa inapelekwa "kiimani" 😲
Ha ha ha ha baadhi ya waafrika sisi...🤣
Baadhi yetu tunashindwa kuweka mizania ya imani ya maisha ya hapa duniani na maisha "yajayo".....
#ChanjoIjeTuchomwe
👍👊Hiyo fomu mimi nilisaini na nimechanja dozi zote 2, na nipo poaa kabisa! Hawa wafuasi wa kinjeketile wasikutishe
Daah unajua inasikitisha sana....jamii inaweza kutumia misimamo ya kiimani ya makundi na kujipotosha na kupotosha wengine....daaahSasa hivi mleta mada yuko kwenye makambi huko, wanaambizana Chanjo ya Corona ndio alama ya mnyama a.ka 666 🤣🤣
Mkuu wangu.....
Kuhusu janga la CORONA....
Niko wazi....binafsi ninahitaji CHANJO...
Hapa hakuna "SIASA" wala "HISIA ZISIZO ZA KISAYANSI"......
Nichomwe mimi hiyo chanjo...na tuchomwe watanzania ili tupambane na hilo gonjwa "KIWELEDI".......
************************
Kuhusu KATIBA MPYA......
Binafsi siungi mkono katiba mpya....sikumuunga mkono mzee Warioba.....si kwa kuwa moyoni mwangu hakuna "UZALENDO"....laa hashaa......
Matatizo yetu watanzania yako zaidi ya KATIBA.....
Katiba mpya si suluhisho.....huko AFRIKA YA KUSINI wana katiba inayoweza kumfunga RAIS WA NCHI...bado haijawazuia RAIA WAKE kuona USAWA baina ya walio nacho na makabwela.......
Binafsi ninaheshimu msimamo wa serikali 2 za JMT....Baba wa taifa JKN aliona mbali sana kutuepushia "mabalaa" ya wanasiasa.......mfanowe wale "G55".......
Hayo ni kwa ufupi mkuu wangu🙏
🤣🤣Ninaujua msimamo wako ila kwa mchanganuo ule unakutambua wewe kama wa mama.
Si kosa kuwa wa mama au wa baba.
Niliomba uthibitisho wako tu mkuu ikikupendeza lakini.
Mbona saizi hawaupeleki?Ninapendekeza hilo.
Nchi za wenzetu hakuna hiyari kwa hao watoa huduma mahospitalini.
HEBU TUFIKIRIE:
Mtaalamu wetu wa HOSPITALI anarudi nyumbani kwa mumewe/mkewe na wanawe...hajachanjwa, anaupeleka ugonjwa nyumbani kwa wapendwa wake....tusisahau wao ndio rahisi mno kuambukizwa "DOZI KUBWA" kuliko wengine.
#ChanjoIweLazimaKwaWataalamWaAfya
#MieMlalahoiNinaisubiriKwaHamuHiyoChanjo
Hapo sasa 🤣🤣Hata hizo chanjo za watoto wakati zinaanza watu walizikimbia hv hv lakini sikuhizi zikikosekana kwenye vituo vya afya wazazi wanaandamana mpk kwa mkuu wa wilaya. Kwahiyo siyo Jambo geni kwa mnaorukaruka km mahindi ya kukaangwa. Hv km n wazungu kutuangamiza siwangetumia hizo chanjo za watoto ambazo hatuzihofii? Kwann hii moja imekuwa nongwa sana. Kwan taasisi zetu hazina uwezo wa kujua hizo chanjo ni salama au sio salama?
Tafuta asilimia ya kifo kwa korona na asilimia ya kifo kwa chanjo. Ukipata jibu utaamua mwenyewe cha kufanya hakuna wa kukulazimisha maana kuna fomu ya kujaza.Wote hawa ni lazima wachanjwe Kumbe ishakuwa lazima.
Amesema yeye na mke wake rudia kusoma.Umerudia kile kile ulichomkosoa mtoa mada, mpo wewe na nani?
Kama ni hivyo basi inamaana hao wote na familia zao wadungwe sindanoAskari wetu walio mstari wa mbele kutupatia HUDUMA ZA AFYA;
1) Manesi(nurses)
2) Madaktari (Doctors)
3) Wataalam wa maabara
4) Wataalam wa mionzi ,mashine za hospitali
5) Makatibu wa hospitali
6) Wahasibu wa hospitali
7) Watoa ushauri nasaha
8) Wataalamu wa viungo cheza
9) Wafamasia
10) Wahifadhi maiti
11) Wahudumu (nurses attendants)
12) Wahudumu wa usafi hospitalini
13) Wafanyakazi wa BANK za malipo zilizopo ndani ya Hospitali
14) Walinzi wakiwemo maaskari wa SUMA JKT/magrupu ya Ulinzi
WOTE HAWA NI LAZIMA WACHANJWE..
Upande wetu RAIA ,mathalani binafsi nitakuwa wa mwanzomwanzo kuitikia wito wa KUCHANJWA CHANJO HIYO DHIDI YA CORONA.
Hapa nimeshaanza kuliandaa bega langu kwa ajili ya hizo SINDANO....💪
#TuchanjweNduguZangu
#TuwalindeWengine
#NchiKwanza
#ChanjoNiMuhimu
#KaziIendelee
Ndio maana nikasema....wao iwe Ni lazima KUCHANJWA.....Kama ni hivyo basi inamaana hao wote na familia zao wadungwe sindano