900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
itakuwa ndo chanjo ya maisha au wanazi update kila baada ya muda flani kama softwareNdio maana nikasema....wao iwe Ni lazima KUCHANJWA.....
Na sisi wananchi ,CHANJO NI BORA kuliko kutochanjwa.....
Chanjo ya maisha dhidi ya hiyo CORONA....zitakuwa ni zaidi ya moja kama chanjo nyinginezo tu.....itakuwa ndo chanjo ya maisha au wanazi update kila baada ya muda flani kama software
🤣🤣
Mimi ni wa BABA....(Hapa kazi tu)
Mimi ni wa MAMA...(Kazi Inaendelea)
Kama Raia kila siku inabidi tuwe bora zaidi ya "Jana"....
Mh.SSH ndiye kiongozi mkuu wa taifa letu pendwa ,kumuunga mkono ni wajibu wetu wa kila mmoja ukiacha baadhi ya wale wenye "mbango"....ni "mbango tu" mkuu....MBANGO TU 🤣
#KaziInaendelea
#ChanjoIjeTu
Hivi kuamini sayansi ni kupi ni kukubali kila unachoambiwa ilimradi kimehuaiahwa na sayansi au ni vp? maana sielewi hii kauli, hao unaosema hawaamini sayansi ndio hao hao wanatibiwa hospitali endapo wakiumwa na hospitali wanatumia sayansi. Wengine wanadharau matunda na kuita uganga wa kienyeji ila jawajui kuwa sayansi hiyo hiyo ndio inatuambia faida zilizopo kwenye hayo matunda(kama malimao vitunguu tangawizi) na madhara yake, ila mtu anaona kula hayo matunda ni kinyume na sayansi na ni sawa na matunguri.
Wengine humu unakuta hata matumizi sahihi ya barakoa hayajui ila nae anavaa tu na kupoga kelele humu ili tu asionekane mjinga asiyeelimika kama sie wengine, hata hawa wanaotaka chanjo si kwamba wanauelewa wengine hawana uelewa wotewote ni kufuata mkumbo tu nae aonekane anaamini sayansi.
Hiyo ni fomu ya ridhaa kushiriki kwenye majaribio ya chanjo, mnafanywa panya wa majaribio maana hakuna fidia yoyote mnayolipwa na mtafiti hausiki na madhara yatakayojitokeza.......huu ni uzumbukuku...Tafuta asilimia ya kifo kwa korona na asilimia ya kifo kwa chanjo. Ukipata jibu utaamua mwenyewe cha kufanya hakuna wa kukulazimisha maana kuna fomu ya kujaza.
"...WOTE HAWA NI LAZIMA WACHANJWE..."Askari wetu walio mstari wa mbele kutupatia HUDUMA ZA AFYA;
1) Manesi(nurses)
2) Madaktari (Doctors)
3) Wataalam wa maabara
4) Wataalam wa mionzi ,mashine za hospitali
5) Makatibu wa hospitali
6) Wahasibu wa hospitali
7) Watoa ushauri nasaha
8) Wataalamu wa viungo cheza
9) Wafamasia
10) Wahifadhi maiti
11) Wahudumu (nurses attendants)
12) Wahudumu wa usafi hospitalini
13) Wafanyakazi wa BANK za malipo zilizopo ndani ya Hospitali
14) Walinzi wakiwemo maaskari wa SUMA JKT/magrupu ya Ulinzi
WOTE HAWA NI LAZIMA WACHANJWE..
Upande wetu RAIA ,mathalani binafsi nitakuwa wa mwanzomwanzo kuitikia wito wa KUCHANJWA CHANJO HIYO DHIDI YA CORONA.
Hapa nimeshaanza kuliandaa bega langu kwa ajili ya hizo SINDANO....[emoji123]
#TuchanjweNduguZangu
#TuwalindeWengine
#NchiKwanza
#ChanjoNiMuhimu
#KaziIendelee
Majority ya Health care workers hawako tayari kuchanjwa. Anyway, tutegemee wengi kufoji vyeti vya Chanjo ili tuu waweze kupata vibali vya kufanya kazi na Taasisi za Kimataifa.Askari wetu walio mstari wa mbele kutupatia HUDUMA ZA AFYA;
1) Manesi(nurses)
2) Madaktari (Doctors)
3) Wataalam wa maabara
4) Wataalam wa mionzi ,mashine za hospitali
5) Makatibu wa hospitali
6) Wahasibu wa hospitali
7) Watoa ushauri nasaha
8) Wataalamu wa viungo cheza
9) Wafamasia
10) Wahifadhi maiti
11) Wahudumu (nurses attendants)
12) Wahudumu wa usafi hospitalini
13) Wafanyakazi wa BANK za malipo zilizopo ndani ya Hospitali
14) Walinzi wakiwemo maaskari wa SUMA JKT/magrupu ya Ulinzi
WOTE HAWA NI LAZIMA WACHANJWE..
Upande wetu RAIA ,mathalani binafsi nitakuwa wa mwanzomwanzo kuitikia wito wa KUCHANJWA CHANJO HIYO DHIDI YA CORONA.
Hapa nimeshaanza kuliandaa bega langu kwa ajili ya hizo SINDANO....💪
#TuchanjweNduguZangu
#TuwalindeWengine
#NchiKwanza
#ChanjoNiMuhimu
#KaziIendelee