Ni wazi kuwa hawakuwa na uhalali wa kuwa wabunge. Hakuna credit ya kisiasa mliyopata kwa kuwafukuza. Uraiani kuna political gain yoyote mtaambulia?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.

Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.

Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.

Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.

Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
 
Naunga mkono hoja
P
Kama chizi !! Hapo unaunga mkono hoja ipi ambayo kaizungumza? Kama wasingepewa nafasi ya kusikilizwa au kukata rufaa mngesema.
Lkn sasa mmekosa la kusema.
Kwani CHADEMA walikua wanatafuta kuungwa mkono na umma ktk hili? Umma ulishawaunga mkono kabla hawajapewa nafasi ya kukata rufaa.
Ni lini CCM ilitoa nafasi ya kumsikiliza au kumpa nafasi ya kukata rufaa mwanachama wake aliefukuzwa?
 

Ujinga.
 
Vyama vya siasa havihitaji kumiliki majengo, acha wakodishe maofisi na kununua jezi za soka kwa wanaofanya hizo biashara maana ndio uchumi unavyokua, kuzulumu majengo na kujifanya kumiliki ni tabia chafu ya CCM
 
CHADEMA kinapotea rasmi kwenye ramani nawaambia.
Subiri timbwili la majina mapya uone mahawara wanavyopeta.
 
Wajifunze ukomavu wa siasa kutoka CCM,
kina mapungufu yake lakini hakina maamuzi ya hovyo Kama CHADEMA
 
Jifunze kwanza uandishi we nguchiro
 
Huyu mzee anazeeka vbaya kuna mwanafalsafa mmoja aliwahi kusema"Ujinga wa ujanan unaweza kumalizika lkn wa uzeen lazma muhusika atakufa nao tu.
 
Mwamba tumia akili yako vizuri aisee! Tunajua akili uliyobaki nayo ni ya kwendea chooni tu lakini jitahidi hivyo hivyo! Ulitaka wasaliti wafanyweje?
 
Huyu jamaa ni mnafiki wa kupindukia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…