Kama chizi !! Hapo unaunga mkono hoja ipi ambayo kaizungumza? Kama wasingepewa nafasi ya kusikilizwa au kukata rufaa mngesema.Naunga mkono hoja
P
Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.
Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.
Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.
Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.
Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Ujinga.Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.
Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.
Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.
Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.
Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Vyama vya siasa havihitaji kumiliki majengo, acha wakodishe maofisi na kununua jezi za soka kwa wanaofanya hizo biashara maana ndio uchumi unavyokua, kuzulumu majengo na kujifanya kumiliki ni tabia chafu ya CCMIli chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.
Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.
Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.
Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.
Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Wajifunze ukomavu wa siasa kutoka CCM,Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.
Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.
Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.
Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.
Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Lazima uunge kwakuwa wewe ulikuwa mtia nia wa ccm kawe ila wajumbe walikunyoosha mnafiki wweNaunga mkono hoja
P
Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.
Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.
Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.
Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.
Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Kama bulembo na mwanae walivyokuwa wabunge upande uleCHADEMA kinapotea rasmi kwenye ramani nawaambia.
Subiri timbwili la majina mapya uone mahawara wanavyopeta.
Duuh! kwel teuz unatafutwa kwa nguvuNaunga mkono hoja
P
Kwani chadema bado kipo tu? Yule jamaa ayekuwa chato kwa chini si alishakifuta au?CHADEMA kinapotea rasmi kwenye ramani nawaambia.
Subiri timbwili la majina mapya uone mahawara wanavyopeta.
Ng'wanangwa mbona umekuwa jitu la hovyo hovyo namna hiyo? Yaani unaunga mkono hayo mataputapu?Naunga mkono hoja
P
Kama chizi !! Hapo unaunga mkono hoja ipi ambayo kaizungumza? Kama wasingepewa nafasi ya kusikilizwa au kukata rufaa mngesema.
Lkn sasa mmekosa la kusema.
Kwani CHADEMA walikua wanatafuta kuungwa mkono na umma ktk hili? Umma ulishawaunga mkono kabla hawajapewa nafasi ya kukata rufaa.
Ni lini CCM ilitoa nafasi ya kumsikiliza au kumpa nafasi ya kukata rufaa mwanachama wake aliefukuzwa?
Mwamba tumia akili yako vizuri aisee! Tunajua akili uliyobaki nayo ni ya kwendea chooni tu lakini jitahidi hivyo hivyo! Ulitaka wasaliti wafanyweje?Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.
Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.
Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.
Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.
Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Hakuna anayehitaji kujifunza wizi wa kura na ufisadi, miaka 60 nchi hoi kila kona mnaongelea kujenga matundu ya choo, ni mwehu tuu ndio atajifunza kutoka kwenuWajifunze ukomavu wa siasa kutoka CCM,
kina mapungufu yake lakini hakina maamuzi ya hovyo Kama CHADEMA
Huyu jamaa ni mnafiki wa kupindukia.Kama chizi !! Hapo unaunga mkono hoja ipi ambayo kaizungumza? Kama wasingepewa nafasi ya kusikilizwa au kukata rufaa mngesema.
Lkn sasa mmekosa la kusema.
Kwani CHADEMA walikua wanatafuta kuungwa mkono na umma ktk hili? Umma ulishawaunga mkono kabla hawajapewa nafasi ya kukata rufaa.
Ni lini CCM ilitoa nafasi ya kumsikiliza au kumpa nafasi ya kukata rufaa mwanachama wake aliefukuzwa?
Inaonyesha wazi chuki iliyonayo kwa CDM.CHADEMA kinapotea rasmi kwenye ramani nawaambia.
Subiri timbwili la majina mapya uone mahawara wanavyopeta.