Ni wazi kuwa hawakuwa na uhalali wa kuwa wabunge. Hakuna credit ya kisiasa mliyopata kwa kuwafukuza. Uraiani kuna political gain yoyote mtaambulia?

Ni wazi kuwa hawakuwa na uhalali wa kuwa wabunge. Hakuna credit ya kisiasa mliyopata kwa kuwafukuza. Uraiani kuna political gain yoyote mtaambulia?

Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.

Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.

Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.

Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.

Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Rubbish statement

Kumsamehe mkeo kila unapomfumania hakuhalalishi wanaume wote wawasamehe wake zao wanapowasaliti.
We kubaliana na ukweli kuwa umeoa malaya na huna cha kumfanya
 
Democracy is messy, and it's hard. It's never easy.but time will tell how long they will be wabunge
 
Hiyo political gain unayoisema muanzisha uzi waipeleke huko ccm. Waambie waanze kuandamana sasa na wewe na wajinga wenzako mkaandamane nao.
 
Wajifunze ukomavu wa siasa kutoka CCM,
kina mapungufu yake lakini hakina maamuzi ya hovyo Kama CHADEMA
Wakaribisheni sasa muwape huo ubunge huko ccm kwenu. Walijua Magufuli angeishi milele.
 
Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.

Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.

Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.

Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.

Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Muulize Nape Nnauye vizuri "eti chama kimerudi kwa wenyewe baada ya Magufuli kufa/kuuawa , hao wenyewe ndio akina nani!? Akishakujibu ufunge hilo bakuli lako.
 
Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.

Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.

Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.

Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.

Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Chama cha Familia ni CCM kwa sababu Hivi sasa viongozi wake wengi ni watoto au ndugu wa waliokuwa viongozi sina haja ya kutaja majina
 
Muulize Nape Nnauye vizuri "eti chama kimerudi kwa wenyewe baada ya Magufuli kufa/kuuawa , hao wenyewe ndio akina nani!? Akishakujibu ufunge hilo bakuli lako.
Doesnt matter. Je, kuna political gain mmeipata baada ya kuwatimua akina Mdee?
 
Doesnt matter. Je, kuna political gain mmeipata baada ya kuwatimua akina Mdee?
Swali la kijinga tu hili. Political gain unayoitaka wewe ni ipi!? Hapa ni heshima kwa taratibu za chama ndizo zilizolindwa. Otherwise wewe utakuwa ni mpumbavu mmoja tu unayeuliza maswali ya kipumbavu.
 
Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.

Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.

Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.

Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.

Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Una upuuzi mwingine wa ku share au ndo huu huu?
 
Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.

Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.

Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.

Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.

Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Utaratibu
Utaratibu...
Hata hapa JF ukikosea utaratibu unapigwa ban. Na si kwamba ukipigwa ban mtaani watafurahia sana.
Fundisheni watu kufuata utaratibu!!
 
Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.

Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.

Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.

Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.

Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Ni wapi walikwambia wanataka kupata jipya kisiasa kwa kuwafukuza hao covid 19?. Si nyie mlikua mnasema hawawezi kuwafukuza? Sasa wameshafukuzwa kaeni kwa kutulia au mwende mkawafariji.
 
CHADEMA kinapotea rasmi kwenye ramani nawaambia.
Subiri timbwili la majina mapya uone mahawara wanavyopeta.

Unazungumziaje uwepo wa familia ya Kikwete, mtoto wa Pinda, Lowassa nk huko bungeni tena kwa uchaguzi wa kihayawani?
 
Back
Top Bottom