Ni wazi kuwa hawakuwa na uhalali wa kuwa wabunge. Hakuna credit ya kisiasa mliyopata kwa kuwafukuza. Uraiani kuna political gain yoyote mtaambulia?

Ni wazi kuwa hawakuwa na uhalali wa kuwa wabunge. Hakuna credit ya kisiasa mliyopata kwa kuwafukuza. Uraiani kuna political gain yoyote mtaambulia?

Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.

Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.

Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.

Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.

Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
JE wao kuwepo Bungeni Chadema ilipata nini kwa Wananchi

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kama chizi !! Hapo unaunga mkono hoja ipi ambayo kaizungumza? Kama wasingepewa nafasi ya kusikilizwa au kukata rufaa mngesema.
Lkn sasa mmekosa la kusema.
Kwani CHADEMA walikua wanatafuta kuungwa mkono na umma ktk hili? Umma ulishawaunga mkono kabla hawajapewa nafasi ya kukata rufaa.
Ni lini CCM ilitoa nafasi ya kumsikiliza au kumpa nafasi ya kukata rufaa mwanachama wake aliefukuzw

Huyo Pascal anatafutaga teuzi za kubeti kitambo, ni ulofa wa kinafiki kabisa anafahamu utawala ulifanya Mambo ya kishenzi halafu anajitia unafiki kuunga hoja...hivyo hivyo wakati wa magufuli alikuwa anashabikia hoja za kujipendekeza ooh makonda mbadala wa magufuli waliamini utawala wao will last longer so wakiweka unafiki wa kujipendekeza kwa hoja na uchangiaji mada kipumbavu...go to hell guys...alafu tutegemee viongozi,waandishi, wanasiasa bora kariba ya hii ya kushabikia utawala wa mambo ya kishenzi ya kupeleka wabunge kwa kughushi wanatafuna pesa za taifa, za wananchi halafu unaingia ushabiki matope kichwani Kama Spika andunje anayekenua meno Kama anapigwa baridi, bichwa matope Mahera na yule marehemu.
 
Naunga mkono hoja
P
P kuna wakati unakuwa biased. Unajua wamefuata utaratibu si ndiyo. Watakuja wengine.
Sema ukweli chadema kilipaniwa kuuwawa kabisa na mwenda zake na maradicle wa ccm kama sabaya. Hakijapanga kujimaliza ila wapo waliopanga kife kabisa na wanafahamika.
Mama Samia hapendi kabisa cdm kife jitihada zake zinaonekana na zile za Magu zinaeleweka. Huo ndio ukweli. Acha wa hukue hatua
 
Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.

Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.

Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.

Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.

Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
CCM kwenye suala hili la Wabunge 19 waliofukuzwa na Chadema inawatetea sana wakati CCM haipendi wapinzani, unajiuliza kuna Nini? Kuanzia Magufuli ndiye aliyewaingiza mmoja kamtoa jela usiku, Ndugai kawapa ulinzi wasiguswe, KUNA NINI? Au kwa vile Jumuia ya Mabunge chama kinachotawala kisiongoze kamati za bunge, kwa vile Magufuli alitaka bunge la Chama kimoja akafaulu lakini akaona amekiuka taratibu za Jumuia ya Mabunge duniani Sasa akawaweka hawa 19 kukidhi matakwa? Bila hivyo hivi CCM Hawa wasiotaka upinzani wanaweza kuwa watetezi wa hawa 19 kweli?
 
Back
Top Bottom