Ni wazi kuwa hawakuwa na uhalali wa kuwa wabunge. Hakuna credit ya kisiasa mliyopata kwa kuwafukuza. Uraiani kuna political gain yoyote mtaambulia?

Ni wazi kuwa hawakuwa na uhalali wa kuwa wabunge. Hakuna credit ya kisiasa mliyopata kwa kuwafukuza. Uraiani kuna political gain yoyote mtaambulia?

Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.

Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.

Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.

Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.

Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Nakuona sukuma gang ukitetemeka ukiwa karibu na kaburi la mungu wenu.
 
CCM pia kuna wabunge wamefukuzwa
Na ole wako ufukuzwe ccm ukate rufaa! Nadhani ilikuwa 2016 Bashe, Msukuma na Malima walihisiwa tu kuwa na maoni tofauti dhidi ya mapendekezo ya mwenyekiti kwenye mkutano mkuu maalum kupunguza wigo wa demokrasia ndani ya chama, ambapo waliishia kuwekwa rumande kabla ya mkutano kuanza na kuachiwa baada ya mkutano kumalizika bila kufunguliwa mashtaka yoyote!
 
CHADEMA kinapotea rasmi kwenye ramani nawaambia.
Subiri timbwili la majina mapya uone mahawara wanavyopeta.
Hili dua la kuku kuwa CHADEMA kinapotea limeanza miaka mingi lakini kila uchwao ndiyo kinazidi kukua, CCM walitamani sana kina Mzee Mdee na Covid wenzake warudishwe ili wapatie pa kuwananga lakini goodness wamesimamia principles na taratibu zikafuatwa Covid19 labda waende CCM au wajiunge na Sukuma gang aliko mlezi wao Ndugai.
 
Na ole wako ufukuzwe ccm ukate rufaa! Nadhani ilikuwa 2016 Bashe, Msukuma na Malima walihisiwa tu kuwa na maoni tofauti dhidi ya mapendekezo ya mwenyekiti kwenye mkutano mkuu maalum kupunguza wigo wa demokrasia ndani ya chama, ambapo waliishia kuwekwa rumande kabla ya mkutano kuanza na kuachiwa baada ya mkutano kumalizika bila kufunguliwa mashtaka yoyote!
Lazaro Nyalandu, Hamphrey polepole wako wengi
 
Naunga mkono hoja
P
Wajinga wote wataunga mkono hoja. Lakini wenye akili watauliza kupata uthibiyisho wa nini kilichotumika kuweza kutambua kuwa hakuna political gain. Nani anayeamua kuwa kuna political gain, na vigeso vyake ni vipi?

Vigezo gani vimetumika kuweza kujua kuwa chama kina trust ya wananchi au hakina?

Vingenevyo, hii ni hoja fmom a fool intended for support from fools.
 
Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.

Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.

Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.

Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.

Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Hicho chama kilishakufa hakipo. Akina Mdee watulie tu, tena wakijiunga CCM it will be an asset. Maana Bulaya na Mdee ni wasafi huwezi kulinganisha na Mbowr ambaye ni ajenti wa mabeberu. Nashauri Mama ikiwezekana kama ana nafasi za uteuzi awape ili kuwa keep busy by 2025 wagombee
 
Wajifunze ukomavu wa siasa kutoka CCM,
kina mapungufu yake lakini hakina maamuzi ya hovyo Kama CHADEMA
CCM inaungwa mkono na wasio na akili (kama wewe), CHADEMA inaungwa mkono zaidi na watu wenye akili - hiyo ni report ya TWAWEZA.
 
Huyu mzee anazeeka vbaya kuna mwanafalsafa mmoja aliwahi kusema"Ujinga wa ujanan unaweza kumalizika lkn wa uzeen lazma muhusika atakufa nao tu.
Mayala amekuwa kuwa mtumwa wa ujinga na unafiki. Mwisho wanafiki huwa ni dhahiri.
 
Kama chizi !! Hapo unaunga mkono hoja ipi ambayo kaizungumza? Kama wasingepewa nafasi ya kusikilizwa au kukata rufaa mngesema.
Lkn sasa mmekosa la kusema.
Kwani CHADEMA walikua wanatafuta kuungwa mkono na umma ktk hili? Umma ulishawaunga mkono kabla hawajapewa nafasi ya kukata rufaa.
Ni lini CCM ilitoa nafasi ya kumsikiliza au kumpa nafasi ya kukata rufaa mwanachama wake aliefukuzwa?
Usikute kuna siri nzito nyuma ya pazia ambayo wahusika ni baadhi ya viongozi wakuu tu.usikute hao 19 ni kafara ndiyo maana wanashangaa.wanahisi wamegeukwa.
 
You
Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.

Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.

Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.

Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.

Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
are missing the point.
Kitu fake kilichotokana na kughushi uwepo wa wale wabunge 19, lazima kisahihishwe.
Thats a milestone in putting wrongs to the right track.
 
Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.

Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.

Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.

Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.

Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Kuna genge la watu wachache wameumizwa sana na uamuzi huu na kujawa na hasira; siyo kwa sababu ya hao wanawake bali kwa sababu uwepo wa hao wanawake bungeni ulikuwa ishara kubwa ya uovu wa mtu wao aliyeuasisi. Wameumia zaidi kwa sababu walijiaminisha ubatili huu utadumishwa kwa mabavu badala ya katiba alimradi kuwamiza na kuwakomoa kundi fulani la wananchi lililolengwa. Mijitu hii haijui kiwango cha uharibifu wa nchi hii kiliofanyika katika miaka ya hivi karibuni. Tofauti na raia wastaarabu wa nchi hii, hii mijitu haisumbuliwi na mihimili ya dola, taasisi na ofisi nyeti za umma zilizotumika kuvunja katiba ya nchi, sheria na kutenda jinai kubwa kukidhi tamaa ovu ya ya uongozi usiokuwa na dira inayosomeka na kueleweka. Badala yake inasumbuliwa zaidi na aibu, hasira na kasi ya kubomolewa kwa kile walichoaminishwa ni sahihi kumbe ni uongo na ubatili mtupu!
 
You

are missing the point.
Kitu fake kilichotokana na kughushi uwepo wa wale wabunge 19, lazima kisahihishwe.
Thats a milestone in putting wrongs to the right track.
So what will happen?
 
Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.

Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.

Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.

Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.

Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Wametimuliwa au wamejitimua. Unaugulia ukiwa wapi?
 
Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.

Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.

Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.

Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.

Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Aya Chadema imekufa CCM na mama wanakubalika mtaani, furahi Sasa [emoji3]
 
Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.

Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.

Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.

Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.

Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
tulia babuu, dawa imeanza kuingia usichezeshe kalio sindao itavunjikiamo !!
 
Back
Top Bottom