Mlipiga hesabu vibaya. Mkizania kuunda jezi za soka na kuwatiamua akina Mdee mtapaa kisiasa.Kama chizi !! Hapo unaunga mkono hoja ipi ambayo kaizungumza? Kama wasingepewa nafasi ya kusikilizwa au kukata rufaa mngesema.
Lkn sasa mmekosa la kusema.
Kwani CHADEMA walikua wanatafuta kuungwa mkono na umma ktk hili? Umma ulishawaunga mkono kabla hawajapewa nafasi ya kukata rufaa.
Ni lini CCM ilitoa nafasi ya kumsikiliza au kumpa nafasi ya kukata rufaa mwanachama wake aliefukuzwa?
Maccm akili zenu wakati mwingine zinathibitisha mlivyo takataka za majalalani. Watu wa hovyo mno nyie viumbe. Mnaumia na nini sasa, Mzee Dee na wenzake ni legancy ya Mwendawazimu na CCM. Sisi CHADEMA hawatuhusu kwa lolote lile.Naunga mkono hoja
P
Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.
Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.
Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.
Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.
Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Rubbish, uliambiwa akina Halima wakifukuzwa kuna kitu kitapatikana? mwanachama yoyote lazima afuate utaratibu wa chamaIli chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.
Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.
Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.
Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.
Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Wapokeeni huko CCM wanawafaa snSawa, ndio maana ulitakiwa usome nilichoandika dogo.
Wawapokee hukohuko CCMMaccm akili zenu wakati mwingine zinathibitisha mlivyo takataka za majalalani. Watu wa hovyo mno nyie viumbe. Mnaumia na nini sasa, Mzee Dee na wenzake ni legancy ya Mwendawazimu na CCM. Sisi CHADEMA hawatuhusu kwa lolote lile.
Wakaribisheni waje CCMNaunga mkono hoja
P
Kama chizi !! Hapo unaunga mkono hoja ipi ambayo kaizungumza? Kama wasingepewa nafasi ya kusikilizwa au kukata rufaa mngesema.
Lkn sasa mmekosa la kusema.
Kwani CHADEMA walikua wanatafuta kuungwa mkono na umma ktk hili? Umma ulishawaunga mkono kabla hawajapewa nafasi ya kukata rufaa.
Ni lini CCM ilitoa nafasi ya kumsikiliza au kumpa nafasi ya kukata rufaa mwanachama wake aliefukuzwa?
Lazima uunge kwakuwa wewe ulikuwa mtia nia wa ccm kawe ila wajumbe walikunyoosha mnafiki wwe
Ng'wanangwa mbona umekuwa jitu la hovyo hovyo namna hiyo? Yaani unaunga mkono hayo mataputapu?
Mbona mnalazimisha watu wawe na mawazo kama yenu.Huyu jamaa ni mnafiki wa kupindukia.
mda unavyozidi kwenda unazidi pia kuwa mpumbavuNaunga mkono hoja
P
Mjomba Paskali Njaa ni bora ustaafu uchambuzi wa masuala ya kisiasa na ulee wajukuu..Naunga mkono hoja
P
Kama chizi !! Hapo unaunga mkono hoja ipi ambayo kaizungumza? Kama wasingepewa nafasi ya kusikilizwa au kukata rufaa mngesema.
Lkn sasa mmekosa la kusema.
Kwani CHADEMA walikua wanatafuta kuungwa mkono na umma ktk hili? Umma ulishawaunga mkono kabla hawajapewa nafasi ya kukata rufaa.
Ni lini CCM ilitoa nafasi ya kumsikiliza au kumpa nafasi ya kukata rufaa mwanachama wake aliefukuzwa?
Yaani Chadema wamechukua jezi za Simba wakavishanaIli chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.
Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.
Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.
Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.
Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Basi sawaCHADEMA kinapotea rasmi kwenye ramani nawaambia.
Subiri timbwili la majina mapya uone mahawara wanavyopeta.
CCM pia kuna wabunge wamefukuzwaWajifunze ukomavu wa siasa kutoka CCM,
kina mapungufu yake lakini hakina maamuzi ya hovyo Kama CHADEMA
Umeumia?Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.
Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.
Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.
Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.
Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.
Kula like za kutosha mkuuKama chizi !! Hapo unaunga mkono hoja ipi ambayo kaizungumza? Kama wasingepewa nafasi ya kusikilizwa au kukata rufaa mngesema.
Lkn sasa mmekosa la kusema.
Kwani CHADEMA walikua wanatafuta kuungwa mkono na umma ktk hili? Umma ulishawaunga mkono kabla hawajapewa nafasi ya kukata rufaa.
Ni lini CCM ilitoa nafasi ya kumsikiliza au kumpa nafasi ya kukata rufaa mwanachama wake aliefukuzwa?
sawaaaa hawatapata kituu!!ww shida yako ni nini??kinachokuuma ni nini??mwanaume kuwa mbea mbea haipendezii!!mnatufanya hata tusioshabikia vyama vya siasa tuone wanasiasa wote mpo mpo!!wao wamefanya maamuzi yao ww unaumia!!shida nini???Ili chama chochote kipate nguvu ya kisiasa ni lazima kipate sapoti ya umma. Umma ndio wananchi wenyewe.
Pamoja na kuwa mmewatimua akina Mdee na wenzake lakini ukweli utabaki palepale kuwa mlishapoteza trust kwa wananchi wa kawaida.
Mlishakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi, nepotism na kuwa mpompo tu kama wajanja wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yenu. Chama cha familia ya akina Chair Man.
Angalieni Join ze chein yenu ilivyozolota. Mmechangisha hizo pesa kiduchu mmetengeza jezi za soka badala ya kununua uwanja wa ofisi.
Pamoja na kuwatimua akina Mdee hakuna jipya mtalopata kisiasa.