Si mnataka awe kama yule mwingine.Usitutishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mnataka awe kama yule mwingine.Usitutishe
Halafu ile mwanzoni walikuwa wameonekana kutii agizo kabisa, lakini baada ya lile vurugu la siku ile, wamerudi tena kama kawaida, hata tandika bado wapo kama kawaida tu!!!Tangu uanze kampeni ya kuwaondoa wamachinga mitaani inaonekana wamachinga wa Mbagala Rangitatu wamekushinda, bado wapo mbele ua maduka, juu ya barabara inayojengwa na juu ya mitaro ya maji ya mvua..
Asubiri kufukuzwa kibarua kama alivyo fukuzwa kutoka Mbeya.Tangu uanze kampeni ya kuwaondoa wamachinga mitaani inaonekana wamachinga wa Mbagala Rangitatu wamekushinda, bado wapo mbele ua maduka, juu ya barabara inayojengwa na juu ya mitaro ya maji ya mvua..
Weka kapicha aumbuke kabisaTangu uanze kampeni ya kuwaondoa wamachinga mitaani inaonekana wamachinga wa Mbagala Rangitatu wamekushinda, bado wapo mbele ua maduka, juu ya barabara inayojengwa na juu ya mitaro ya maji ya mvua..
Ccm waache kutufanya wajinga kwenye suala la machinga .Halafu ile mwanzoni walikuwa wameonekana kutii agizo kabisa, lakini baada ya lile vurugu la siku ile, wamerudi tena kama kawaida, hata tandika bado wapo kama kawaida tu!!!
Ukweli ni kuwa Mbagala rangi tatu kazi inaendelea tena bila uoga kabisa.Weka kapicha aumbuke kabisa
Population ya watu wa Mbagusta a.k.a Mgayo Guest ni mara tatu ya Polisi wote TanzaniaUkweli ni kuwa Mbagala rangi tatu kazi inaendelea tena bila uoga kabisa.
Makalla kashindwa mapema sana hili.
mshaurini kule akienda ende kavaa helmet.... 🤣🤣🤣🤣 atakuwa harudi ohoo.Tangu uanze kampeni ya kuwaondoa wamachinga mitaani inaonekana wamachinga wa Mbagala Rangitatu wamekushinda, bado wapo mbele ua maduka, juu ya barabara inayojengwa na juu ya mitaro ya maji ya mvua..
Goba ni Uyunani, hadi katoto ka mwezi mmoja kanajua what is global warmingKusema kweli watu wa Mbagala ni wabishi sana sana. Hawan austaarabu hata chembe.
Mbagalans hebu badilikeni bana muwe kama watu wa Goba
Analijua hilo yeye na mkurugenzi wa manispaa, ni wazi wanawaogopa baada ya kufanya vurugu kwa kupiga mawe magari, tatizo wanamdanganya Rais kuwa wamfanikiwa kuwaondoa.Weka kapicha aumbuke kabisa
Diwani wao alikuwaga Yusuf Manji.Analijua hilo yeye na mkurugenzi wa manispaa, ni wazi wanawaogopa baada ya kufanya vurugu kwa kupiga mawe magari.
Kashaamua kusalenda maana haina ufichoAnalijua hilo yeye na mkurugenzi wa manispaa, ni wazi wanawaogopa baada ya kufanya vurugu kwa kupiga mawe magari.
Ebu wacha maneno yako ya hovyo kwenye mambo yanayo hitaji kutumia akili.Diwani wao alikuwaga Yusuf Manji.
Mbagala watata sana!
Tupiako kapicha mkuu kwa kina ThomasoTangu uanze kampeni ya kuwaondoa wamachinga mitaani inaonekana wamachinga wa Mbagala Rangitatu wamekushinda, bado wapo mbele ua maduka, juu ya barabara inayojengwa na juu ya mitaro ya maji ya mvua..
Nyie Wamakonde bure kabisa!Ebu wacha maneno yako ya hovyo kwenye mambo yanayo hitaji kutumia akili.