Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Mwenyekiti wenu ndiye aliye lifikisha hili tatizo hapa tulipo.Mkuu wa mkoa fukuza watendaji kata wote ambapo Machinga wamerudi. Ni uzembe wa kijinga Sana
Hakuna haja ya kutupiana lawama wakati mwenye makosa alishatangulia mbele ya haki.