Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
- Thread starter
- #81
Mkuu wa wilaya atayaona hayo kwani anatembelea masoko.Weka kapicha aumbuke kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wa wilaya atayaona hayo kwani anatembelea masoko.Weka kapicha aumbuke kabisa
Kusema kweli watu wa Mbagala ni wabishi sana sana. Hawa ustaarabu hata chembe.
Mbagalans hebu badilikeni bana muwe kama watu wa Goba
Kikitembea kipigo kama Mwembe Chai lazima pawe peupeMbagala na Tandika ni kwa TMK-Wanaume polisi na Makala wakienda kule wave pampas na helmet kabisa..
Na kaa ukijua hapa Dar kuna Wanaume wa Dar halafu kuna Machinga, Machinga hawausiani kabisa na wanaume wa Dar ndo mana hata Makala anajiuliza ni vp aingine... hii vita kushinda ni ngumu sanaaa ma RC wengi wamechemsha
wewe na masukuma menzio ndo mnashinda huku mkimpiga vita rais wetu mpendwa sana, mama wa shauri jema,mama mwenye ubinadamu,mwenye huruma asiye mwizi kama mjombawako mwendakuzimu,asiye punguani.Naona umelivamia jukwaa,pole sana .
Unapo ingia mjini jaribu kuulizia sana kinacho kusumbua
Hata ukija sasa hivi hakuna cha defender wala 110 maisha yanasonga kama kawaidaIna maana wale Suma JKT kama wanaolala kwenye defender pale mtaa wa Congo mbagala imeshindikana kuwapeleka ama?
Angalia masikini hata kuandika tu shidawewe na masukuma menzio ndo mnashinda huku mkimpiga vita rais wetu mpendwa sana, mama wa shauri jema,mama mwenye ubinadamu,mwenye huruma asiye mwizi kama mjombawako mwendakuzimu,asiye punguani.
Kwahio wana hawawazi pira?Hata ukija sasa hivi hakuna cha defender wala 110 maisha yanasonga kama kawaida
Ni kweli kabisa.Watu wa huko wengi wao ndio wale wenye kizazi cha wapiganaji wa vita ya Majimaji, Wamakonde, Wangindo, Wamatumbi, Wandegereko......
Pira kwani linshuka kutoka mbinguni?Kwahio wana hawawazi pira?
ataelewa Mbagala ni Dar es salaam ,au ni nje kidogo ya mji wa Dar es salaam.
Leo kimewaka mbagala mida hii mgambo wanatembeza kichapo kama MP!!na mbao zote ulizotengenezea meza wanazipakia kwenye lori la manispaa!!leo hii ukisimama zakiem unaona hadi kokoto!!!Hapo ndo wataelewa Mbagala ni Dar es salaam ,au ni nje kidogo ya mji wa Dar es salaam.😎
Kimewaka tenaLeo kimewaka mbagala mida hii mgambo wanatembeza kichapo kama MP!!na mbao zote ulizotengenezea meza wanazipakia kwenye lori la manispaa!!leo hii ukisimama zakiem unaona hadi kokoto!!!
Kaka Matukio haya ni ya muda tu,njaa ina miaka na mikaka,Leo kimewaka mbagala mida hii mgambo wanatembeza kichapo kama MP!!na mbao zote ulizotengenezea meza wanazipakia kwenye lori la manispaa!!leo hii ukisimama zakiem unaona hadi kokoto!!!
Chinga kwa ubishiKusema kweli watu wa Mbagala ni wabishi sana sana. Hawana ustaarabu hata chembe.
Mbagalans hebu badilikeni bana muwe kama watu wa Goba
Asubiri kufukuzwa kibarua kama alivyo fukuzwa kutoka Mbeya.
Jiwe alimfukuza kisa kuna diwani mmoja wa cdm kashinda kiti hicho wakati jiwe alishasema kuwa ccm lazima ishinde nchi mzima.Hawezi kufukuzwa kwani aliyempa kuwa muweka hazina wa CCM ndiye aliye muweka kuwa RC ; na mfadhili wake huyo bado yuko jikoni!!!