Arturo mateo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 636
- 1,076
Uko ndo chimbuko la wa machinga ,kutoka ntwara,walaji samaki nchanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye matatizo ya akili utamjua tuNyie Wamakonde bure kabisa!
Tokeni juu ya mitaro!Mwenye matatizo ya akili utamjua tu
Nakuona kwenye ubora wako.Tokeni juu ya mitaro!
Ndiyo swali la msingi Makalla inabidi alijueWaende wapi sasa
Hao sasa ndio umewachongea subiri kuanzia kesho utaona kitakachotokea.Tangu uanze kampeni ya kuwaondoa wamachinga mitaani inaonekana wamachinga wa Mbagala Rangitatu wamekushinda, bado wapo mbele ua maduka, juu ya barabara inayojengwa na juu ya mitaro ya maji ya mvua..
Hiyo haipo mbali sana na hata hao migambo wa jiji wanajua .Swala la Machinga linaweza kuiondoa Serikali ya CCM...
Walitolewa wakatii agizo, ila now wanarudi, itaendelea hadi wataanza kuwapiga Askari wa Jiji...
Wacha kujidanganya maana unajitesa mwenyeweHao sasa ndio umewachongea subiri kuanzia kesho utaona kitakachotokea.
Ha ha ha kuwatoa kwa nguvu hao hawatoki kabsaPopulation ya watu wa Mbagusta a.k.a Mgayo Guest ni mara tatu ya Polisi wote Tanzania
Tutafanyaje wakati nyoka tumemlea wenyewe?machinga mbagala! lazima damu imwagike pale