Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Hi wachaga wako ndani ya hifadhi ya kinapa ?View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
Sangara atakula nani?Watu wa mwanza pia waondoke, waache ziwa lipumue vizuri😂
Sangara wanaliwa mwanza tu?Sangara atakula nani?
Na wazanzibari wahamishwe Comoro kupisha utalii endelevuView attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
Wewe utakua umezaliwa juziLabda kwenu kumekauka
Sehemu huitazami lazima kukauke
Kwetu kuna mifugo, kuna kijani kama chote
View attachment 3075719
Juzi nimechinja mbuzi nane, nilipunguza maana wako wengi
Wazee wa kisusio mmeelewa kitu. Though situmii kabisa...
View attachment 3075721
Kwanza hiyo picha ya mlima siyo uhalisia.View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
Kwamba kila ifikapo mwezi December misafara ya Wachaga inakuwa inaelekea Mahenge na Ifakara au Rufiji?View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
Naunga mkono hoja, infact napendekeza Watanzania wote tuhamishwe tupelekwe jangwa la SAHARA ili kupisha vivutio vya kitalii vilivyotapakaa kila mahali nchini visiharibike.View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
Ni kweli pia hapa Kizimkazi kuna fukwe nzuri sana zinazovutia watalii.View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
Kwanini hutumii kisusio?Labda kwenu kumekauka
Sehemu huitazami lazima kukauke
Kwetu kuna mifugo, kuna kijani kama chote
View attachment 3075719
Juzi nimechinja mbuzi nane, nilipunguza maana wako wengi
Wazee wa kisusio mmeelewa kitu. Though situmii kabisa...
View attachment 3075721