Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuite ambulance 🚑 harakaNimeumia sana, kama mwanaume mwenye heshima zangu na kijana smart, kuonekana makalio yangu na mpenzi wangu.
Ni week sasa nakula mlo mmoja tu kwa siku tena kwa shida sana, napo ni baada ya kulazimishwa sana.
Yeye hajajua sababu hii ila anaona nimebadilika ghafla, sometimes napiga mito kwa hasira na kupiga vikombe na kung'ata meno yangu. Sijui nitawezaje kuishi na mke kwa hali hii.
Now sitaki kumuona mpaka ni recover kutoka kwenye hii hali, sitoruhusu tena kuvaa mbele yake baada ya tendo. Hapa nadondosha chozi na screen imeloa kiasi chake, kwa uchungu nilionao.
Anyway tusaidiane kwa hili, naona muda unayoyoma na dalili ya ku recover siioni!
kama unamwenea aibu nini kikikufanya ukalale nae acha ujinga embu kuwa serious ndgMkuu nahisi aibu mno,unaweza kuhisi utani ila ni serious
Na avatar hiyo bado unalala bila kuvaa nguo za ndani 😂😂😂Nimeumia sana, kama mwanaume mwenye heshima zangu na kijana smart, kuonekana makalio yangu na mpenzi wangu.
Ni week sasa nakula mlo mmoja tu kwa siku tena kwa shida sana, napo ni baada ya kulazimishwa sana.
Yeye hajajua sababu hii ila anaona nimebadilika ghafla, sometimes napiga mito kwa hasira na kupiga vikombe na kung'ata meno yangu. Sijui nitawezaje kuishi na mke kwa hali hii.
Now sitaki kumuona mpaka ni recover kutoka kwenye hii hali, sitoruhusu tena kuvaa mbele yake baada ya tendo. Hapa nadondosha chozi na screen imeloa kiasi chake, kwa uchungu nilionao.
Anyway tusaidiane kwa hili, naona muda unayoyoma na dalili ya ku recover siioni!
🤣🤣🤣Uzi bila picha ni batiliNimeumia sana, kama mwanaume mwenye heshima zangu na kijana smart, kuonekana makalio yangu na mpenzi wangu.
Ni week sasa nakula mlo mmoja tu kwa siku tena kwa shida sana, napo ni baada ya kulazimishwa sana.
Yeye hajajua sababu hii ila anaona nimebadilika ghafla, sometimes napiga mito kwa hasira na kupiga vikombe na kung'ata meno yangu. Sijui nitawezaje kuishi na mke kwa hali hii.
Now sitaki kumuona mpaka ni recover kutoka kwenye hii hali, sitoruhusu tena kuvaa mbele yake baada ya tendo. Hapa nadondosha chozi na screen imeloa kiasi chake, kwa uchungu nilionao.
Anyway tusaidiane kwa hili, naona muda unayoyoma na dalili ya ku recover siioni!
KabisaHii inchi ina mambo ya hovyo sana..
Nimeumia sana, kama mwanaume mwenye heshima zangu na kijana smart, kuonekana makalio yangu na mpenzi wangu.
Ni week sasa nakula mlo mmoja tu kwa siku tena kwa shida sana, napo ni baada ya kulazimishwa sana.
Yeye hajajua sababu hii ila anaona nimebadilika ghafla, sometimes napiga mito kwa hasira na kupiga vikombe na kung'ata meno yangu. Sijui nitawezaje kuishi na mke kwa hali hii.
Now sitaki kumuona mpaka ni recover kutoka kwenye hii hali, sitoruhusu tena kuvaa mbele yake baada ya tendo. Hapa nadondosha chozi na screen imeloa kiasi chake, kwa uchungu nilionao.
Anyway tusaidiane kwa hili, naona muda unayoyoma na dalili ya ku recover siioni!
Mwamba katuaibisha sana mwambaMwanaume unawezaje kupiga story/ kuandika kuhusu "makalio yako" mbele ya wanaume wenzio..... wanaume wameisha.
Hakika
Labda mataccal Yako n mabaya ndo mana hujiamin[emoji1][emoji1]
Watu tunalalamika maji na umeme hakuna yeye analalamika makalio kuonwa na mwenza[emoji44][emoji44], asingekimbilie asivyoviweza angesubiri muda ufike