Ni week sipo sawa baada ya mpenzi wangu kuyaona makalio yangu

Ni week sipo sawa baada ya mpenzi wangu kuyaona makalio yangu

.
mike-tyson-laugh.gif
 
Nimeumia sana, kama mwanaume mwenye heshima zangu na kijana smart, kuonekana makalio yangu na mpenzi wangu.

Ni week sasa nakula mlo mmoja tu kwa siku tena kwa shida sana, napo ni baada ya kulazimishwa sana.

Yeye hajajua sababu hii ila anaona nimebadilika ghafla, sometimes napiga mito kwa hasira na kupiga vikombe na kung'ata meno yangu. Sijui nitawezaje kuishi na mke kwa hali hii.

Now sitaki kumuona mpaka ni recover kutoka kwenye hii hali, sitoruhusu tena kuvaa mbele yake baada ya tendo. Hapa nadondosha chozi na screen imeloa kiasi chake, kwa uchungu nilionao.

Anyway tusaidiane kwa hili, naona muda unayoyoma na dalili ya ku recover siioni!
Tuite ambulance 🚑 haraka
 
Nimeumia sana, kama mwanaume mwenye heshima zangu na kijana smart, kuonekana makalio yangu na mpenzi wangu.

Ni week sasa nakula mlo mmoja tu kwa siku tena kwa shida sana, napo ni baada ya kulazimishwa sana.

Yeye hajajua sababu hii ila anaona nimebadilika ghafla, sometimes napiga mito kwa hasira na kupiga vikombe na kung'ata meno yangu. Sijui nitawezaje kuishi na mke kwa hali hii.

Now sitaki kumuona mpaka ni recover kutoka kwenye hii hali, sitoruhusu tena kuvaa mbele yake baada ya tendo. Hapa nadondosha chozi na screen imeloa kiasi chake, kwa uchungu nilionao.

Anyway tusaidiane kwa hili, naona muda unayoyoma na dalili ya ku recover siioni!
Na avatar hiyo bado unalala bila kuvaa nguo za ndani 😂😂😂
 
Nimeumia sana, kama mwanaume mwenye heshima zangu na kijana smart, kuonekana makalio yangu na mpenzi wangu.

Ni week sasa nakula mlo mmoja tu kwa siku tena kwa shida sana, napo ni baada ya kulazimishwa sana.

Yeye hajajua sababu hii ila anaona nimebadilika ghafla, sometimes napiga mito kwa hasira na kupiga vikombe na kung'ata meno yangu. Sijui nitawezaje kuishi na mke kwa hali hii.

Now sitaki kumuona mpaka ni recover kutoka kwenye hii hali, sitoruhusu tena kuvaa mbele yake baada ya tendo. Hapa nadondosha chozi na screen imeloa kiasi chake, kwa uchungu nilionao.

Anyway tusaidiane kwa hili, naona muda unayoyoma na dalili ya ku recover siioni!
🤣🤣🤣Uzi bila picha ni batili
 
Nimeumia sana, kama mwanaume mwenye heshima zangu na kijana smart, kuonekana makalio yangu na mpenzi wangu.

Ni week sasa nakula mlo mmoja tu kwa siku tena kwa shida sana, napo ni baada ya kulazimishwa sana.

Yeye hajajua sababu hii ila anaona nimebadilika ghafla, sometimes napiga mito kwa hasira na kupiga vikombe na kung'ata meno yangu. Sijui nitawezaje kuishi na mke kwa hali hii.

Now sitaki kumuona mpaka ni recover kutoka kwenye hii hali, sitoruhusu tena kuvaa mbele yake baada ya tendo. Hapa nadondosha chozi na screen imeloa kiasi chake, kwa uchungu nilionao.

Anyway tusaidiane kwa hili, naona muda unayoyoma na dalili ya ku recover siioni!
 
Back
Top Bottom