Ni week sipo sawa baada ya mpenzi wangu kuyaona makalio yangu

Ni week sipo sawa baada ya mpenzi wangu kuyaona makalio yangu

Umenikumbusha fb group flan hivi mdada anauliza anataka wagombane na mpenzi wake afanyeje kamiss ugomvi Kuna mtu akajibu mpapase trako [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Nimeumia sana, kama mwanaume mwenye heshima zangu na kijana smart, kuonekana makalio yangu na mpenzi wangu.

Ni week sasa nakula mlo mmoja tu kwa siku tena kwa shida sana, napo ni baada ya kulazimishwa sana.

Yeye hajajua sababu hii ila anaona nimebadilika ghafla, sometimes napiga mito kwa hasira na kupiga vikombe na kung'ata meno yangu. Sijui nitawezaje kuishi na mke kwa hali hii.

Now sitaki kumuona mpaka ni recover kutoka kwenye hii hali, sitoruhusu tena kuvaa mbele yake baada ya tendo. Hapa nadondosha chozi na screen imeloa kiasi chake, kwa uchungu nilionao.

Anyway tusaidiane kwa hili, naona muda unayoyoma na dalili ya ku recover siioni!
niko nacheka hapa maana kuna mtu huwa anapita mbele yangu bila wasiwasi akiwa uchi. mbona ni kitu cha kawaida tu. tena me napenda kuyaona
 
Umenikumbusha fb group flan hivi mdada anauliza anataka wagombane na mpenzi wake afanyeje kamiss ugomvi Kuna mtu akajibu mpapase trako [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom