ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Nadhani nachingweA na ruangwa ndo itakuwa safi...hata lami ile ya mangaka kwenda ruangwa me sikuikubali...lami ingefaa ipigwe kutoka masasi mpk ruangwaUkisema imegwe na Newala Mtwara itakuwa imeisha. Waichukue Nachingwea na either Liwale au Ruangwa na Nanyumbu. Lindi ni kubwa mno..
Hivi BR ndiyo panadamshi kwa sasa baada ya kibo kuanguka?
Ndio ila kibo muda sio mrefu watarudi kwenye game...imefungwa kote mok kwenye kitimoto ingawaje upande ulioathirika Sana NI lounge ndaniHivi BR ndiyo panadamshi kwa sasa baada ya kibo kuanguka?
Uchumi wa masasi unategemea nini zaidi..? Na labda mzunguko wa pesa ukoje pale masasiJapo sijatembea wilaya yingi Ila kwa kule Kusini hakuna wilaya iliyo juu zaidi ya MASASI.. So i can say that Masasi is among of the best district for now na inastahili kuwa Municipal kwa siku chache mbeleni
Hellow wakuu,
Hili ni swali muhimu sana kwa watu wenye mipamgo mirefu, pia linanufaisha kiuchumi kwa mtu mjanja.
Mfano mwaka 2007 wilaya ya KAHAMA ilikuwa ni wilaya ya kawaida sana maeneo mengi ya pembeni ilikuwa ni vichaka leo hii miaka 15 imepita hakuna tena vichaka ni majumba tu wajanja walioona mbali wakanunua maeneo makubwa leo hii wanauza kwa bei kubwa sana
Je, unadhani ni wilaya gani baada ya miaka 15 itakuwa manispaa? Na ni kwanini unadhani hivyo?
Karibuni
Nafikiri ulitaka kusema Rami ya Nanganga to Ruangwa.Nadhani nachingweA na ruangwa ndo itakuwa safi...hata lami ile ya mangaka kwenda ruangwa me sikuikubali...lami ingefaa ipigwe kutoka masasi mpk ruangwa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Biashara..pale NI njiapanda ya kwenda tunduru songea pia nachingweA mok ruangwa pia newala na pale mpk watu wa msumbiji wanakuja kufunga mizigo pale..just imagine mizigo inapita Lindi inafika kwanza masasi then wafanyabiashara wa kutoka Lindi ndo wanaenda kufunga mzigo masasiUchumi wa masasi unategemea nini zaidi..? Na labda mzunguko wa pesa ukoje pale masasi
Kilimo.. Masasi kuanzia mwezi huu mpaka mwezi December panakuwa busy sana na biashara ya mazao. Choroko, Ufuta, Mbaazi na Korosho zote wanazalisha kwa kiwango kizuri tuUchumi wa masasi unategemea nini zaidi..? Na labda mzunguko wa pesa ukoje pale masasi
Yeah NI mangaka sorry huwa Nazi confuse hizi sehem Nina mwaka mmoja Huku kusni kikazi so bado sijamaster Maeneo yote kuyakaririNafikiri ulitaka kusema Rami ya Nanganga to Ruangwa.
Kwakweli wakipata Mkoa utakuwa moja ya mkoa promising sana. Wilaya zote hizo zina potential kubwa ya kilimo cha biashara kama korosho, ufuta, mbaazi na choroko
Ok, mimi ningekuwa karibu na mmiliki wa lile eneo ningemshauri ahamishe lile duka la vinywaji la jumla pale nje, avunje lile jumba kuukuu alipoweka casino halafu eneo la kitimoto lisogee lilipo duka la vinywaji sasahivi ili kuongeza eneo la Bar ya nje na nightclub maana nimeshuhudia mara ya mwisho kwenda kibo palijaa raia si mchezo yaani sijawahi kushuhudia ujaaji wa vile kuanzia counter ya nje mpaka nightclub.Ndio ila kibo muda sio mrefu watarudi kwenye game...imefungwa kote mok kwenye kitimoto ingawaje upande ulioathirika Sana NI lounge ndani
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Unachekesha mbona miaka yote wakulima wa korosho mtwara na Lindi ni maskini wa kutupwa tu.Nafikiri ulitaka kusema Rami ya Nanganga to Ruangwa.
Kwakweli wakipata Mkoa utakuwa moja ya mkoa promising sana. Wilaya zote hizo zina potential kubwa ya kilimo cha biashara kama korosho, ufuta, mbaazi na choroko
Hivi masasi haiko boda ya msumbiji..?Kilimo.. Masasi kuanzia mwezi huu mpaka mwezi December panakuwa busy sana na biashara ya mazao. Choroko, Ufuta, Mbaazi na Korosho zote wanazalisha kwa kiwango kizuri tu
Pia biashara ya uchuuzi maana wapo njia panda ya wilaya nyingi Tu kama Tunduru, Nachingwea, Newala
Ndio mnavyoaminishwa.. Kumbuka Mtwara na Lindi ina vijiji bora kuliko Mwanza according to NBS.Unachekesha mbona miaka yote wakulima wa korosho mtwara na Lindi ni maskini wa kutupwa tu.
Daah! Unanishawishi mkuu...! Najipanga kuelekea kusini hasa mtwara/masasi kufanya biashara ya chakula.Biashara..pale NI njiapanda ya kwenda tunduru songea pia nachingweA mok ruangwa pia newala na pale mpk watu wa msumbiji wanakuja kufunga mizigo pale..just imagine mizigo inapita Lindi inafika kwanza masasi then wafanyabiashara wa kutoka Lindi ndo wanaenda kufunga mzigo masasi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nimekaa luangwa na kulima tikiti huko nilichoona huko ni uchawi na uzinzi basi...Ndio mnavyoaminishwa.. Kumbuka Mtwara na Lindi ina vijiji bora kuliko Mwanza according to NBS.
Karib Sana mkuu pale masasi huwezi amini watu wanakesha usiku kucha.ndo sehemu pekee ambayo guest zake hazina limit ya mwisho saa tanoDaah! Unanishawishi mkuu...! Najipanga kuelekea kusini hasa mtwara/masasi kufanya biashara ya chakula.
Nimewahi kuishi maeneo ya Nanganga hapo, nilikuwa nafanya kilimo cha tikiti ila nilipigwa ni wachawi hatari na uzinzi ndiyo wenyewe.Karib Sana mkuu pale masasi huwezi amini watu wanakesha usiku kucha.ndo sehemu pekee ambayo guest zake hazina limit ya mwisho saa tano
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Uzinzi kila sehemu upo kuanzia tunduru,namungo, mnazimmoja mingoyo mpk Lindi town so inategemea na Tabia zako TU km huna kampani na wazinzi Basi hutakuwa mmoja waoNimewahi kuishi maeneo ya Nanganga hapo, nilikuwa nafanya kilimo cha tikiti ila nilipigwa ni wachawi hatari na uzinzi ndiyo wenyewe.
Masasi ni kubwa.. Ila pia Masasi ipo boda ya kwenda Msumbiji kijiji cha Sindano na Chikoropola.Hivi masasi haiko boda ya msumbiji..?