Ndio huu huu ila naona kama huu ni live, hakuna ambao ni wa studio, yaani OG
Habari wakuu, naomba audio ya ngoma mpya ya Ommy Dimpoz "Ni wewe"
Sent using Jamii Forums mobile app
Mc babu ayubu ana nyimbo nyingi mimi nahitaji moja inaitwa bifu msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
"Chai iliyoungwa na nazi"[emoji3] ushawahi kunywa mkuu?Usjali tuko pamoja kiongozi.
Kwa nini uliamua kujiita hivyo, imetokana na nini hii username yako chai_nazi. Thanks.
Kuna rafiki yangu alikwama (haambiwi, hasikii) kwenye mahaba na mdada mmoja hivi, sasa nikawa namtania yule shemeji yangu "apunguze tui kwenye chai" wanacheeka, ikawa utani mpk leo tunaitana "chai nazi", mkuu hiyo ndio asili ya chai_nazi ya JF, ahsanteUsjali tuko pamoja kiongozi.
Kwa nini uliamua kujiita hivyo, imetokana na nini hii username yako chai_nazi. Thanks.
...Asante sana mkuu, kuna movie flani hivi alicheza inaitwa Joyful noise, kuna kipande alikuwa akiimba wimbo flani unaitwa To the moon and back sijui ni wa kwake? kama ni wake nitumie au kama unaufahamu huo wimbo nitumie,Ni Dolly Parton.
List of all songs by Dolly Parton (A-Z) | Songs-tube.net
Wimbo wake nnaoupenda sana ni huu.
Kuna rafiki yangu alikwama (haambiwi, hasikii) kwenye mahaba na mdada mmoja hivi, sasa nikawa namtania yule shemeji yangu "apunguze tui kwenye chai" wanacheeka, ikawa utani mpk leo tunaitana "chai nazi", mkuu hiyo ndio asili ya chai_nazi ya JF, ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app
...Asante sana mkuu, kuna movie flani hivi alicheza inaitwa Joyful noise, kuna kipande alikuwa akiimba wimbo flani unaitwa To the moon and back sijui ni wa kwake? kama ni wake nitumie au kama unaufahamu huo wimbo nitumie,
Natanguliza shukrani!
Sent using Jamii Forums mobile app