Natafuta wimbo unaitwa Jerusalemu ni wa rege msanii jina limenitoka.... Unaimbwa hivi
Barouh atat Adonai
Barouh atat jerushalaim..
Jeeeerusalemu here i am...
Jeeeerusalem giteim giteim
Shalom, salamalekhum...
Mwenye Audio yake naomba please
Alafu naombeni mnielekeze site nzuri ambayo naweza dowlod audio mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu KIOO tafadhali nisaidie ngoma hizi HAWATUWEZI-Lordyeyes na Enika.... YAMENIKUTA-GWM na Mr.2..... NA WEWE MILELE RayC...SAFARI ya feruz na NIMECHOKA ya keysha na diamond...
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wakuu KIOO, gwankaja, Idimi na Beef Lasagna
Part 4
61. Crabs in my pants
62. Holly mount zion
63. Its magic
64. Sweet Jamaica
65. Mother nature
66. Oh No not my baby
67. Rich man poor man
68. Take me back to Africa
69. Pressure drop
70. Mr Sandman
71. Double trouble
72. Boat to zion
73. Picture on the wall
74. Marijuana in my brain
75. Dollar of soul
76. Slave queen
77. Natty dread
78. Dont rock my boat
79. Misty morning
80. Talkin blues
Israel vibration
1. Rude boy shuffling
Culture
1. Red red wine
2. Addis Ababa
3. Peace and love
4. Take it easy
5. Sweet lovin love
Wakuu nitashukuru sana nikizipata hizo
“ᴬⁱⁿ̇`ᵗ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ ᵃˡⁱᵛᵉ ᵗʰᵃᵗ ᶜᵃⁿ ᵗᵃᵏᵉ ᵐʸ ᵐᵒᵐᵐᵃ`ˢ ᵖˡᵃᶜᵉ”
Iwe kheri kwako mkuu.Wakuu mniwie radhi niko tight nafukuzia hizi kazi za Bandari halaf bado siku 1 tu ndo mana mnaona kimya kiasi sorry for that wakuu.
Naombeni dua zenu wakuu nifanikishe katika hilo wandugu.
Regards to all.
jonal rashidi pole sana kwa kuusaka wimbo bila mafanikio. Uzuri wa hili jukwaa ni kwamba utapata unachokitaka kwa angalau 70%. Wimbo unaoutaka huu hapa.WAKUU NAOMBA NYIMBO YA
OPALINA YA DULLY SYKES NIMESHAISAKA SANA BILA MAFANIKIO
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale mademu wanitwa Tatuu. Wimbo unaitwa Mateso ya rohoNatafuta wimbo mmoja wa kikenya unaimbwa hivi!
Woiii woii parapanda italia....woii woii kesho naishiaa!
Masaa ishaanza naliaa...woiiii...nawikaaa!!!
Mademu flani hivi siwajui jina tatizo.
Umeomba nyingi mno at once bro. Ngoja tuone tunakusaidiaje. Be patientWakuu KIOO, Idimi, gwankaja na Beef Lasagna
Natafuta nyimbo zifuatazo:
Bob Marley & The Wailers
1. Zion train
2. 400 yrs
3. Redemption song (acapela)
4. Rats race
5. Survival
6. Concrete jungle
7. Duppy conquer
8. Iron lion zion
9. Trench town
10. Burnin and looting
11. Positive vibration
12. Jamming
13. Exodus
14. Waitin in vain
15. One drop
16. Slave driver
17. Satisfy my soul
18. Coming in from the cold
19. No more trouble
20. So much trouble in the world
Nitashukuru sana nikizipata
“ᴬⁱⁿ̇`ᵗ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ ᵃˡⁱᵛᵉ ᵗʰᵃᵗ ᶜᵃⁿ ᵗᵃᵏᵉ ᵐʸ ᵐᵒᵐᵐᵃ`ˢ ᵖˡᵃᶜᵉ”
Ngoja tuoneWakuu KIOO, gwankaja, Idimi na Beef Lasagna
Part 2
21. So much things to say
22. Guiltiness
23. Three little birds
24. Small axe
25. Soul rebel
26. Kaya
27. Keep on moving
28. Chant down babylon
29. Stiff necked fools
30. Cry to me
31. Johnny was
32. Want more
33. War
34. Night shift
35. Crazy baldheads
36. Bad card
37. Pimpers paradise
38. Zimbabwe
39. Ride natty ride
40. Ambush in the night
Nitashukuru nikizipata hizo wakuu
“ᴬⁱⁿ̇`ᵗ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ ᵃˡⁱᵛᵉ ᵗʰᵃᵗ ᶜᵃⁿ ᵗᵃᵏᵉ ᵐʸ ᵐᵒᵐᵐᵃ`ˢ ᵖˡᵃᶜᵉ”
Msaada tutaniKuna nyimbo moja sijui kaimba Nani upo hivi:-
Mtoto harufu mbaya, imetawala mwiliniii
Nipo njiani miaka mingi, naelekea sayarini
Navuka mito na mabonde, ili nifike sayarini
Nafsi yangu inanibana na wingi wa mitihani mamamamaaaa ×2
Ni Safari ndefu, iliyochokuwa miaka mingii.........
Nautafuta saana
Sent using Jamii Forums mobile app
Msanii anitwa TattouNatafuta wimbo mmoja wa kikenya unaimbwa hivi!
Woiii woii parapanda italia....woii woii kesho naishiaa!
Masaa ishaanza naliaa...woiiii...nawikaaa!!!
Mademu flani hivi siwajui jina tatizo.
Inaitwa kinyaunyau utaipataKuna ule wanaimba" Ooh wacha wacha waseme,watasema mchana ee na usiku watalala
Sent using Jamii Forums mobile app