Sina mkuu, naamini utapatikana hapa hapaHivi audio yake unayo?
Hapana ni Ally Star akiwa na TOT TaarabuMarehemu Issa Matona
Nakumbuka ni wimbo wa Mad Icewimbo wenye hii chorus pliz
mama alisema vumilia aah... mateso
tena akasema yatakwisha aaah.
pia
norichiko... nimemfukuza
Ni wakuimba mkuu mahadhi ya nyimbo za kina Zahir Zorowakuimba au rap... kama rap jaribu Jose Mtambo- Binti
Anaitwa godman ft mad ice mama alisemaNakumbuka ni wimbo wa Mad Ice
Kuna nyimbo moja ya kikongo siijui jina wala aliyeiimba ila inaimba ivi " Muzinaa, muzina litata helipepesantu muzina litatanzambee muzina"
Naomba kama kuna mwenye nyimbo hiyo tafadhali anitumie maana nimejaribu kuitafuta bila mafanikio, natanguliza shukrani kwenu wana jamvi.
wimbo wenye hii chorus pliz
mama alisema vumilia aah... mateso
tena akasema yatakwisha aaah.
pia
norichiko... nimemfukuza
La hashaa nasonga bila kuchoka mola niongoze njia ilionyookaaa...!
Dah umeniambia kitu ambacho nimestruggle sana kukielewa man.Mi kabwela Mahututi chombo changu mashahiri na sauti...