FirstClass
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,100
- 1,363
Mkuu KIOO nmerudi tenaa..
Nahitaji instruments ya nyimbo hizi..
Please for give me ya P Funk na Dully
Swahili ya Stereo wa Tamaduni Music
Pia kuna wimbo sjui ni Achimenengule Bend ( Sina uhakika na jina la Band ) unaanzaga na maneno haya..
'''Simbaa anangurumaa nchini Tanzaniaaah... Siiiimbaaaa anangurumaa nchin Tanzaniaaaa...*2
Eeeeaaaahhh Aungurumapo simbaaa, acheze nan.........'''
BINAFSI NIMEKUELEWA WIMBO UNAOUHITAJI JAPO KUNA WANA HAWAJAKUSOMA.Mkuu unachanganya Mimi naongelea album ya machozi kuna nyimbo ya Lady Jay dee unaitwa nakupenda ni tofauti na hhuo distance unaosema
Aisee nipe basi kwanza mistari nipate ladha kiongozi.
Namba yangu ni 0714540040 nitashukuru mkuuBINAFSI NIMEKUELEWA WIMBO UNAOUHITAJI JAPO KUNA WANA HAWAJAKUSOMA.
NI KWELI HUO WIMBO UNAITWA NAKUPENDA WA LADY JD NA ULISHATUMWA HUKU MARA 2 NA MIMI NILIUPATIA HUKU,
CHA MSINGI TOA NAMBA YAKO NIKUTUMIE WHAT'S UP SABABU KUUPANDISHA HAPA UNANIZINGUA.
Ni kweli sina hakika na jina la nyimbo lakini waimbaji ni Qchief na Mangwea ndani yake!
Yaani Q-chief anatubu kwa demu kwa wakati aliomkosea!!
Naomba wimbo flan unaimbwaga "iyee lelele mama, ye lele mama x2
Afu wanaenda nataka kurudi kwetu kwa baba na mama "
Waliimba pia kwenye msiba wa ruge..
Plz
Itabidi nikutafutieHapana mkuu.
Itabidi nikutafutie
Huo wimbo umepotea sana...Sema nimepata pata nyimbo kadhaa, ila huo sikuupata.
Huo wimbo umepotea sana...
Imebaki kumuuliza rafiki yangu mmoja.. Ni mkatoliki haswaa.
Kama hatakuwa nao ndo basi tena.
Hizo ulizopata unazisikiliza!?? Au zipo kama mapambo!?
Siku ukijisikia kunyoosha kizungu unasikiliza zile nyingine!?au? [emoji5]Inategemea na mzuka wa siku hiyo, ila kuna ambazo ni mara kwa mara nazisikiliza.
Nipm namba yako nikuunganishe group la nyimbo za kikatoliki utapata kila wimbo uutakao.Wapendwa tumsifu Yesu Kristo.
Natafuta wimbo wenye lyrics zifuatazo:-
Yesu alipokuwa ameketi mlimani mizeituni,
Wanafunzi walimwendea wakimuuliza,
Tuambie mambo haya yatakuwa lini,
Nazo ni dalili gani za kuja kwake.
...
Nikipata MP3 au link ya YouTube itafaa pia.
Amani iwe nanyi.