No 1 na 3 ni Salute! Kuna na ile Utawamaliza Wote ya BDP ukizipata kabla yangu ni Tag plz!
 
Kuna wimbo mmoja jina sikumbuki ila kaimba banza stone na sijajua aliimbia bendi gani vile kuna baadhi ya maneno yanabwa hivi" hata ukoo sina sina ubini wala kabila sins ndugu wa damu sijui mzaramu hata mlugulu sijui mmakonde wala msukuma" nifanyieni mpango tafadhali
 
Natafuta wimbo wa PNC wa kwanza kabisa aliimba fiesta 2004 "mama hauko nami ndio maana nateseka"
 
Bwana Kidevu ya Gwm.
Ndoa ya Wagosi wa Kaya.
Tupo town ya Mapacha.
 
Zikiwekwa nitag asee hasa Tangazo, ongeza na "Tunakupenda ya Jaypop Prospa"
 
Natafuta link ya kudownload au video ya ONE LOVE by Steve RNB
 
Natafuta rockaz anthem ya rackaz screw ,(quick racka, mo racka, chiefracka)
 
"Ahadi yangu mm na wewe,
Ilikuwa tuishi pamoja,
Kwa kuwa umebadilika,
Mimi na wewe baasi!"

AFANDE SELE
 
Naungana na wewe nongeza list kuna
1. Starehe gharama ya L.W.P
2.Mshenga ya banza ft mando&domo kaya
3.mkao wa kula T.m.k manyigu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…