Mkui Kioo tafadhali naomba unisaidie kupata nyimbo zifuatazo
Anakudanganya B love M
Busy SoulnFaith ft Pig Black
Kama huwezi Rama dee ft Lady jay dee
Nimpate wapi Richie Longomba ft Lady jaydee
Na Namtafuta mrembo wa Matonya
Nisaidien wimbo unaitwa haiwezekan Mwenye wimbo simjui ila aliyeshirikishwa humo ndan ni Mr blue ni wa kitambo sana
Wimbo Starehe na pesa wa K Salu nimeutafuta sana,
Unapopata tumiaaa
Unapokosa jutiaaa
Starehe na pesa ni kama mapacha.
Mkuu naomba Nichekie Mpenzi Kwaheri Ft TID ipo Kwenye Album Ya Jaymoe Ulimwengu Ndio mamaALBUM:FUNGA KAZI
KUNDI:HARD BLASTERS(HBC)
MWAKA:2000
Ilikua na ngoma 11.View attachment 1197548
Ilikua ni Album ya 3 ya HBC ikitanguliwa na BLUST NUFF na MAMBO YA MJINI-(kabla ya NIgga J ambae kwasasa ndo Prof J kujiunga HBC)
Mkuu ebu nisaidie wimbo wa sister p anakuja na wa mr ebbo ft mkoloni- mnisamehe.Mkuu naomba Nichekie Mpenzi Kwaheri Ft TID ipo Kwenye Album Ya Jaymoe Ulimwengu Ndio mama
TUPATE ALBUM YA MWANAMAMA WA ZOUK TANZANIA(STARA THOMAS)
ILIYOENDA KWA JINA:NINI SINA?ILIKUA NA NGOMA SITA TUView attachment 1196588
TUPATE ALBUM YA MWANAMAMA WA ZOUK TANZANIA(STARA THOMAS)
ILIYOENDA KWA JINA:NINI SINA?ILIKUA NA NGOMA SITA TUView attachment 1196588
Mkuu ebu nisaidie wimbo wa sister p anakuja na wa mr ebbo ft mkoloni- mnisamehe.
"Kwankaja" mie naombaga ngoma hizi hapa tu nikizipata ntashukuru sana mpaka leo sijazipata
1.starehe gharama ya L.W.P MAJITU
2.Najitoa mhanga ya LUTEN KALAMA
3. Mshenga ya BANZA STONEft MANDOJO&DOMO KAYA
4.Mkao wa kula TMK MANYIGU
Shukran sana mkuu gwankaja
Mkuu nisaidie 'Chozi la Yatima' by Jose Mara kama unaoOooh Owkay ngoja nimcheki mkuu. Thanks bro.