Tomasi Sankara
Senior Member
- Oct 6, 2018
- 130
- 73
1:langa-Rafiki wa kwel. 2:chid benz-bongo freva 3:nyimbo za sterio 4:nyimbo za ambassador of Crist.Usjali nitawa-check mkuu. Thanks.
Will you?wa Martins hero
Hivi wakuu hakuna anayeijua hii nyimbo kweli?Naomba kujua aliyeimba wimbo huu, baadhi ya mashairi yake ni "NIKIKUMBUKA MAPISHI YAKO KISAMVU CHA NAZI, HATA KAMA KILALE KICHACHE..." Mwenyekumjua muimbaji wa bongo fleva naomba jina niutafute youtube tafadhali
Huu wimbo unasumbua sana, nishaomba majukwaa mbalimbali bila mafanikio na kwanza wengi hawaujui.
Cha kwanza tungepata jina ingekuwa rahisi!
Ndugu wadau nautafuta wimba wa SINA KAZI(jiko limenuna) wa Mazimwi,
Pia kama kuna njimbo nyingine za hawa jamaa(Mazimwi) pia unaweza kutuwekea
Asante
Duuuh! Ndiyo basi tena, ngoja tuwe wapoleHiyo ngoma inaitwa Mwana Mkiwa utunzi Banza Stone akiwa na TOT Plus Band. Ila ngumu kupatikana nimeisaka kishenzi.
Ukipatikana wenye kuchuja vizuri nipatie.Natafuta wimbo "Pajero ya baba yangu Flora"