Wakuu msaada tutani nahitaji wimbo wa Nash mc ft Nikki Mbishi- Adimu mwenye nao aupakie hapa tuupate wana.
 
Inaimbwa hivii

Naamka asubuhi najikuta mfupiii,
Nikicheki kiunoni nina bonge la chupii,
Naingia kabatin nakutana na mjusiii,
Nachukua mkuki natoana nae ndukii,
 
Kuna wimbo unaitwa HESHIMA YA NDOA sijui ni Wa nani ila alimshirikisha Daz Baba
 
Natafuta sana nyimbo hizi
1. J Sisters- tanzania you are most beautiful
2. Flora mbasha -Mungu ibariki tanzania

Mwenye nazo anipe
 
wimbo unaimbwa "Mama usiniue inusuru roho yangu, usiende kwa dokta kuitoa roho yangu"
 
Kuna huu wimbo wa kundi linaitwa "Thugcity".... Unaitwa "Proposition", ni ngoma kali sana ya R&B ilitolewa miaka ya 2006. Naitafuta sana.... Youtube haipo na hakuna sehemu online nimeiona....

So kama unayo nitashukuru sana....... Natuma sample yake kuna mwana anaisikiliza kwenye gari...
Your browser is not able to display this video.
 
Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.


"Tanzania Tanzania nchi yenye mali nyingi watu wengi wa ulaya wanaililia sana"
Nautafuta sana huu
 
Jana katika pita pita zangu, alipita bodaboda mmoja kuna ngoma inapigwa mashairi yake machache yanaknivutia kuisikiliza.. Ni hip hop ile, chorus ni km mr blue hiv kama sijakosea..

Baadhi ya maneno yake.. Siwezi kuwa sahihi 100%
"Sometimes bodaboda hawali chipsi, ila wanapakia mishikaki"
"Roho mbaya haijengi, hata kiwanja haina"

Kiitikio wanasema we mtoto acha kulia lia sijui acha kufanyaje..
 
waungwana kuna song la zamani kurasini sda wanaimba " siku zinakuja mbele siku za kuhuzunisha siku ambazo hatujapata kuona mfano wake " ole ole ole kama kuna yeyote atakuwa nalo nitabarikiwa sana.
 
Bando Ft Mr. Blue nyimbo inaitwa USWAZI utaipata kwenye site za kudownload hata you tube
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…