K basil ft solo thang-Nauhitaji sana wa K basil, baadhi ya mistari yake ni
Siku moja ndotoni nikaotaa
Kwa mbali nikasikia unaniita
Ukajitokeza kwa pozi lenye utataa
Ndani ya khanga laini yenye kutepetaaa....
Nitashukuru sana wandugu
Hajashirikisha mtu huo.K basil ft solo thang-
Wanipa raha
Anhaaaa ni kweli bhanaaa...huu wimbo ndo uliomtoa k basilHajashirikisha mtu huo.
Chorus yake
Chozi ulidondosha
Moyoni nilikukondeshaaa
Sikuthamini penziloo
Nilikutenda visivyo.........
Wimbo unaitwa nilikutenda visivyo, k basilHajashirikisha mtu huo.
Chorus yake
Chozi ulidondosha
Moyoni nilikukondeshaaa
Sikuthamini penziloo
Nilikutenda visivyo.........
Uweke kama unaoWimbo unaitwa nilikutenda visivyo, k basil
Mkuu nishausaka sana bila mafanikioUweke kama unao
Huo wimbo kaimba mary lucas f. T nuruelly unaitwa nendaKuna wimbo kashirikishwa Nuruel na mdada sijui anaitwa nan, baadhi ya mistar ya chorus
Wewe ndo nuru yangu ndani ya moyo wangu
Mimi ni nuru yako ndani ya roho yako
Nendaaa aaaaaa aaaaaa
Shukran kakaHuo wimbo kaimba mary lucas f. T nuruelly unaitwa nenda
Nitumie namba yako pm nikutumie mkuu nimeshindwa uweka hapaNauhitaji sana wa K basil, baadhi ya mistari yake ni
Siku moja ndotoni nikaotaa
Kwa mbali nikasikia unaniita
Ukajitokeza kwa pozi lenye utataa
Ndani ya khanga laini yenye kutepetaaa....
Nitashukuru sana wandugu
Poa kakaNitumie namba yako pm nikutumie mkuu nimeshindwa uweka hapa