Ni wivu ama wanahoja ya kusikilizwa: Wanawake wamjia juu Mchezaji Sadio Mane (31) baada ya kumuoa binti mdogo miaka 18

Ni wivu ama wanahoja ya kusikilizwa: Wanawake wamjia juu Mchezaji Sadio Mane (31) baada ya kumuoa binti mdogo miaka 18

View attachment 2867581

Sadio Mane kwa sasa anachezea timu ya Al Nassr, Mshahara wake kila wiki ni takribani dola za kimarekani 830,000 ambazo ni sawa na shilingi za kitanzania bilioni mbili kila wiki.

Kwa nchi kama senegal wanafuata sheria za kiislam na kiafrika ambazo zinaruhusu kuanza mahusiano na binti mwenye miaka 16 ila saido alimsubiri afike 18.

Kilichofanyika ni kwamba Mwaka juzi Sadio akiwa na miaka 29 alienda kujitambulisha kwa familia ya huyo binti kipindi ana miaka 16, Akaweka posa wamtunzie huyo binti atamuoa akifika miaka 18, kwa muda huo Sadio alichukua jukumu la kumlipia ada ya shuleni huyo binti, Shule aliyosoma inasemekana ilikuwa ni ya kidini.

Wanawake wengi mitandaoni wamelipukwa kwa hasira wakisema bado binti ni mdogo, Kwamba Sadio angetafuta hata mwanamke mwenye 25
Washenzi kweli, Angekua maskin wangetia huo ushauri? Au angeolewa na lishangazi wangesema nini? Yani mtu ujipate na vibunda vyako upangiwa chombo ya kuvuta Alaaaah.
 
Bosa ya sadio mi juz nimepata ka 15 nikajua mdada wa miaka 22 nimemaliza namuuliza anasema 13 afu mi niko 30 jaman maisha haya ngoja ntakaoa
 
Bosa ya sadio mi juz nimepata ka 15 nikajua mdada wa miaka 22 nimemaliza namuuliza anasema 13 afu mi niko 30 jaman maisha haya ngoja ntakaoa
 
Huwa na washangaa sana wazungu kwamba 18 mdogo wakati kwao wanaongoza kuwa na ma single mother wenye umri wa miaka16 tena wengine hadi 14,,furaha yao muendelee kuzini #Evilbeings
Watanzania ndio 18 mdogo, sio wazungu au wazungu wa morogoro unaongelea?
 
Uko sahihi mkuu,

Lakini kwa binti wa miaka 18 kwa ulimwengu wa sasa ana mambo mengi sana, huyo kalelewa kiislamu sana

Nawaona wanavokuja kuniita feminist
kama Kulelewa Kiislamu Kunampunguzia Binti Kuwa Na Mambo Mengi Basi Ni Jambo Jema,binti Hatakiwi Kuwa Na Mambo Mengi Kama Fei Toto Ndo Maana Ndoa Za Kiislamu Zina Utilivu.Mimi Mwenyewe Jamaa Kaniinspire Nitatafuta Wa 18 Ingal Hata Hawa Wa 18 Kwa Sasa Mita Inasoma 100km Ila Wana Afadhal Kuliko Wa 25
 
Kwa sasa umri sahihi wa binti kuolewa ni miaka 16-18,maana wanawahi sana kubalehe!binti wa darasa la nne ana tumaziwa na vitako vya kuanzia[emoji44],miaka 50 ijayo mtoto wa miaka 11 atakuwa anaolewa,HADI KINYAAA[emoji3062]

UTANDAWAZI ULIKUJA NA MADHARA YAKE.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]ETI VItako vya kuanzia asee
 
Mlisema bikra akiolewa analia, huyu anacheka mwanzo mwisho

Sema ana good smile ndani ya nyumba burudani.
 
Back
Top Bottom