Ni yupi kati ya hawa ni wa kumuandaa kuwa Rais wa Tanzania hapo baadaye?

Umemaliza kila kitu,naomba sana awe yeye anaefata
 
We tutusa kweli! umekuja kutafuta nini humu JF wakati hata kuandika hujui? Hovyoooooo!
 
We tutusa kweli! umekuja kutafuta nini humu JF wakati hata kuandika hujui? Hovyoooooo!
We chakubanga naona umekuja kumtetea mungu wako hapa JF. Bahati nzuri huyo unaemtetea na genge lake hata Like hawajakupa chawa mkubwa wewe.
 

Attachments

  • images (68).jpeg
    3.1 KB · Views: 11
Huyo namba 1 sawa lakini msiba mkubwa ni hicho chama chake.
Chama ambacho kinategemea kitengo chake cha propaganda ya kuchafua wapinzani wao na watu wenye mawazo mbadala hakifai !! Maana kinakuwa kimeshafilisika kimawazo!! Kitakuwa kinategemea mabavu kusurvive !!
 

Gwajima, Makonda could only be considered for District Commissioners at the most.

Tundu Lisu is only suited for a Backbencher or a Life long Opposition MP to provide an oversight to the Government. He is not a Presidential Material, he spends most of his time to look for faults and explaining them to people. How can he be a Prewident
 
Na weww unafaa kuwa nani
 
Ila waTz hatujawahi kuwa serious! Yaani wapo watu wanaoona kabisa makonda anafaa kuwa raisi!!
 
RIDHIWANI KIKWETE ndo Rais atakaekuja kulikombia hili Taifa.
 
mzee wa kifo cha mende atatufaa
 
Mtoeni tundu lissu, makonda na gwajima gwajima kabisa , ummy mwalimu anafaa , kassim majaliwa anafaa hata spika wa bunge wasasa huyo mama anafaa.

Mwinyi anafaa samia anafaa.

Namimi unique flower nafaa
 
Mtoeni tundu lissu, makonda na gwajima gwajima kabisa , ummy mwalimu anafaa , kassim majaliwa anafaa hata spika wa bunge wasasa huyo mama anafaa.

Mwinyi anafaa samia anafaa.

Namimi unique flower nafaa
Kwa mjibu wa wawakilishi kutoka gereji hao wanafaa munoo
 

Hadi Tundu Lisu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…