insuperable
JF-Expert Member
- Jan 27, 2019
- 299
- 243
Tuwe wakweli hapa, hulka za Bashiru Ali na Baba wa Taifa pamoja na Magufuli zinarandana sana sana,hata ukimwangalia usoni anaonekana afanyi mambo ya usanii ni mzalendo kweli kweli,msikilizeni anapo jieleza mbele ya mkutano au kongamano one could feel ana karma ya ziada ie si binadamu wa kawaida - wengi watanipinga na kumzulia mambo na kashfa za kutunga tu ili kumwaribia sifa -lakini ukweli unabaki pale pale kwamba Mtanzania mwenzetu huyu ni jembe sana.
Siku zote kwa Mswahili Ukweli humuuma.Daa punguza chuki
We tutusa kweli! umekuja kutafuta nini humu JF wakati hata kuandika hujui? Hovyoooooo!Lisu huyu huyu alieshindwa kuwajengea hata kisima kimoja cha maji wapiga kura wake? Kumbuka Lisu amekuwa mbunge kwa zaidi ya miaka 15, alipokea mamilioni ya sh waliyokuwa wanalipwa wabunge kila mwezi, hapo sijazungumzia mgao wa ruzuku, pamoj na mshahara wa chama. Lakini jamaa ameshindwa kuwasaidia wapiga kura wake hata kisima 1 kwa ajili ya kuwashukuru kwa kumchagua kwao. Huyu ni kati ya wanasiasa wanaopigania matumbo yao na familia zao.
Hakuna ukweli wowote hapoSiku zote kwa Mswahili Ukweli humuuma.
We chakubanga naona umekuja kumtetea mungu wako hapa JF. Bahati nzuri huyo unaemtetea na genge lake hata Like hawajakupa chawa mkubwa wewe.We tutusa kweli! umekuja kutafuta nini humu JF wakati hata kuandika hujui? Hovyoooooo!
Chama ambacho kinategemea kitengo chake cha propaganda ya kuchafua wapinzani wao na watu wenye mawazo mbadala hakifai !! Maana kinakuwa kimeshafilisika kimawazo!! Kitakuwa kinategemea mabavu kusurvive !!Huyo namba 1 sawa lakini msiba mkubwa ni hicho chama chake.
Sahihi
Na weww unafaa kuwa naniGwajima, Makonda could only be considered for District Commissioners at the most.
Tundu Lisu is only suited for a Backbencher or a Life long Opposition MP to provide an oversight to the Government. He is not a Presidential Material, he spends most of his time to look for faults and explaining them to people. How can he be a Prewident
Ila waTz hatujawahi kuwa serious! Yaani wapo watu wanaoona kabisa makonda anafaa kuwa raisi!!Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
mzee wa kifo cha mende atatufaaHabari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
Pia wanaweza mpitisha ze bulldozer 🚶3. Askofu Gwajima
Ila ndio yupi hiyo Nzee?mzee wa kifo cha mende atatufaa
Mtoeni tundu lissu, makonda na gwajima gwajima kabisa , ummy mwalimu anafaa , kassim majaliwa anafaa hata spika wa bunge wasasa huyo mama anafaa.Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
Kwa mjibu wa wawakilishi kutoka gereji hao wanafaa munooMtoeni tundu lissu, makonda na gwajima gwajima kabisa , ummy mwalimu anafaa , kassim majaliwa anafaa hata spika wa bunge wasasa huyo mama anafaa.
Mwinyi anafaa samia anafaa.
Namimi unique flower nafaa
Majaliwa???Hussein Mwinyi anafaa na makamu wake Majaliwa. Hao wengine wachumia tumbo.
Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .