Ni yupi kati ya hawa ni wa kumuandaa kuwa Rais wa Tanzania hapo baadaye?

Inno Bash for presidency
 
Hata wewe unastahili, usijidharau
 
Hata wewe unastahili, usijidharau
Ni akili tu ya kupambanua mambo na ujasiri wa kufanya maamuzi !! Urais ni taasisi kila aina ya ushauri utakaouhitaji utaupata wakati huo huo !! Sasa shida iko wapi hapo. ? Na habari zote za Nchi nzima zipo mezani kwako kila siku na kila saa ukizihitaji !!
 
Hao wote wanafaa, hakuna chawa wa kundi kiwete ( ja, nap $ wiguuu, hawa ndo wanalitekekeza taifa hili
 
Ipo siku atakuja Rai's kwa namna ya ajabu na ccm watakutwa katika usingizi wa pono. Weka hii post vyema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…