Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Ndio mkuu mbona umeshangaa au kwako wewe unaona ni nani anaefaa badala ya Majaliwa?Majaliwa???
Pia nitaomba uniambie kwanini awe huyo mungine na sio Majaliwa?
Karibu kwa majibu mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu mbona umeshangaa au kwako wewe unaona ni nani anaefaa badala ya Majaliwa?Majaliwa???
🤣🤣🤣Hadi Tundu Lisu???
Kwaiyo nisiongee ukweli?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] show respect basi
Inno Bash for presidencyHabari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
Membe is a bag of hot air in a stuffed shirt..Bernard Casimir Membe
Inno Bash for presidency
Hata wewe unastahili, usijidharauHabari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
SawaHata wewe unastahili, usijidharau
Ni akili tu ya kupambanua mambo na ujasiri wa kufanya maamuzi !! Urais ni taasisi kila aina ya ushauri utakaouhitaji utaupata wakati huo huo !! Sasa shida iko wapi hapo. ? Na habari zote za Nchi nzima zipo mezani kwako kila siku na kila saa ukizihitaji !!Hata wewe unastahili, usijidharau
Mleta uzi anazungumzia viongozi siyo wapiga debe.Zitto Kabwe
MKUU umemuelewa mleta post vizuri?Mwigulu Nchemba
Tajiri mwinyi? Si Samia kamkata ngebe na yeye Kapewa kamtumbwi tayari.1. Hussein Mwinyi
2. Tundu Lissu
Hawa wanaweza tupeleka sehemu nzuri zaidi.
Ipo siku atakuja Rai's kwa namna ya ajabu na ccm watakutwa katika usingizi wa pono. Weka hii post vyema.Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .