johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Aliyekuwa waziri wa Utalii na Mali asili mara nyingi hupenda kuwaambia vijana wafikiri nje ya box wajiajiri na wasisubiri kuajiriwa na Serikali.
Nadhani sasa Kigwangalla ataongea lugha moja na vijana.
Maendeleo hayana vyama!
Nadhani sasa Kigwangalla ataongea lugha moja na vijana.
Maendeleo hayana vyama!