TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,399
- 8,594
- Thread starter
- #21
Ahsante kwa ushauri wako kuuHakuna haja ya camera, ujiwa na software ya inventory management, camera ni kujiongezea gharama. Maana hata ikiondoka carton moja ya item moja hesabu zinagoma . Cha kufanya kila item moja iwe displayed kwenye ngazi halaf zingine zote zinabakia store. Kwa hiyo mteja akija ataangalia sample kwenye item ambayo ipo kwenye ngszi then muuzaji ataangalia hiyo item kama ipo kwa kiasi gani kwenye system na kujulisha mteja kama ipo ama imeisha sasa kule store kutakuwa na store keeper naye ana comouter ilounganishwa kwenye system yeye kazi yake nikuregister vitu vinavyotoka na kuingia na bei za kununulia na kuuzia, na kutakuwa na watu wanaobeba vitu kutoa store kuleta kwa mteja, sasa ikipotea hata item moja wale wabebaji na mtu wa store kata kwenye mishahara yao. Wewe utabaki sehem tu kuangalia report tu . Na kwa vile una maduka mengi system inakuwa vizuri ikiwa online.
Ngoja niwatafute jamaa wa IT naamini hii itakua issue simple kwao...