Ni zipi sifa za mtu kuchaguliwa kuwa Best Student Chuo Kikuu?

We ndo kiazi , kwamba University of Dar es salaam Best Students wote wanapaswa kwenda BOT kila mwaka hata kama katoka kozi ya petroleum au engineering. Soma alichoandika huyo niliyem-quote sio unakurupuka mkuu.
Nilikuwa nakwepa Sana kukuita mjinga.
Nimekuuliza unajua maana ya UDBS? Inavyoonyesha hadi sasa hujui maana ya UDBS
 
Kwa akili yako finyu unadhani huko udbs hakunaga waliopiga vijiti vya 3?
Ndio hawapo kwa asilimia Mia moja, vijiti vya 3 Tanzania vinatoka PCM na PCB, na ndio maana Tanzania one wote wanatokeaga PCM au PCB.

Kama vipo basi ni ule wastani mdogo mdogo.
REFERENCE
Matokeo ya form six kila mwaka.
 
We ndo kiazi , kwamba University of Dar es salaam Best Students wote wanapaswa kwenda BOT kila mwaka hata kama katoka kozi ya petroleum au engineering. Soma alichoandika huyo niliyem-quote sio unakurupuka mkuu.
Kwa ninavyo elewa BOT huwa wanatoa scholarship kwa kozi yeyote ile, iwe Engineering, natural science au from business
 
Kwani ajira ameishapata au anataka tu heshima ya best performer?
 
Ndio hawapo kwa asilimia Mia moja, vijiti vya 3 Tanzania vinatoka PCM na PCB, na ndio maana Tanzania one wote wanatokeaga PCM au PCB.

Kama vipo basi ni ule wastani mdogo mdogo.
REFERENCE
Matokeo ya form six kila mwaka.
Niwekee ushahidi kuwa udbs hakunaga 1.3 mkuu..afu pia inabidi uelewe hata hao PCM na pcb wanaruhusiwa kusoma course za udbs.
 
hiyo ilikua ni zamani, mkuu sio kipindi hiki. Ma best performer kibao tupo nao mtaani saivi tunazisoma namba.
kuwa mtaani haimaanishi kuwa kuwa best performer si connection mkuu.

minilipiginga mawazo yakudhani kulilia u best performer ni kama haina faida ni sifa tu kitu ambacho sikweli kuwa best performer apart from sifa pia ina act kama connection.
 
Mimi naona nikawaida tu. Jambo la msingi ni kuwaza kuonyesha ubest performer wako kwenye jamii na sio kutegemea connection.
kuwa mtaani haimaanishi kuwa kuwa best performer si connection mkuu.

minilipiginga mawazo yakudhani kulilia u best performer ni kama haina faida ni sifa tu kitu ambacho sikweli kuwa best performer apart from sifa pia ina act kama connection.
 
Chukua Pepsi bigi nitalipa.
 
Mimi naona nikawaida tu. Jambo la msingi ni kuwaza kuonyesha ubest performer wako kwenye jamii na sio kutegemea connection.
Huyu si anatafuta platform ya kuonesha best performance mtaani. Kama alitaka kufanya kazi benki akipewa tuzo ya best student lazima imbebe kwenye ajira na ndio uko akaoneshe makeke.
 
Jiajiri mwenyewe kisha tatua, matatizo kwenye jamii. Jack Ma ameajiriwa?
Hii kutatua tatizo la jamii ujinga huu alianzisha nani, Tcc ni billions dollars company imetatua tatizo gani kwa jamii.
 
Wee bwana una Processor ngapi kichwani hivi umekielewa nilichoandika kweli maana ulichojibu controversial kabisa.
nina processor 18 zenye GB 800 kila moja ubongo wangu ni core i18, hard disk 100000000 GB, RAM 1000 GB.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…