Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Nchi hii ina mambo jamani, yaani kuna vita zinaendelea chini chini huko ndani ya chama Mungu amsaidie mama yetu SSH.
Nia ya uwekezaji pale bandarini ni njema kabisa, dhamira safi kabisa. Ni uwekezaji unaokwenda kukata mirija wa watoto wa mjini ambao wamekuwa wakinyonya pale kwa raha zao.
Sasa nashindwa kuelewa, kwamba wahusika walipaswa kumsaidia Mh. Rais kwenye ule mkataba/ makubaliano ni vilaza au wamefanya makusudi kusaini yale madudu ili kumchafua Mheshimiwa?? Kwamba miongoni mwao wapo watu wa ile kambi nyingine ya chama ambao wameamua kumhujumu Rais kwa makusudi kabisa??
Mama SSH usiwe mnyonge, rekebisha mapungufu machche yaliyopo kisha wawajibishe wote waliosababisha taharuki hii kwa kutokutimiza wajibu wao na kupitisha mkataba ukiwa hovyo kiasi kile. Baada ya hapo kazi iendelee, tunahitaji uwekezaji wenye tija pale bandarini. Kama DPW anaiweza hiyo kazi na watafanya kwa uaminifu na kuhakikisha wale wahuni hawaigeuzi bandari kuwa shamba la bibi, why NOT? Tuwape wapige kazi.
Usisahau kuiweka mikataba wazi, itakusaidia usichomekewe madudu na wapinzani wako wa ndani ya chama. Inaonekana mtandao wao ni mpana.
Nia ya uwekezaji pale bandarini ni njema kabisa, dhamira safi kabisa. Ni uwekezaji unaokwenda kukata mirija wa watoto wa mjini ambao wamekuwa wakinyonya pale kwa raha zao.
Sasa nashindwa kuelewa, kwamba wahusika walipaswa kumsaidia Mh. Rais kwenye ule mkataba/ makubaliano ni vilaza au wamefanya makusudi kusaini yale madudu ili kumchafua Mheshimiwa?? Kwamba miongoni mwao wapo watu wa ile kambi nyingine ya chama ambao wameamua kumhujumu Rais kwa makusudi kabisa??
Mama SSH usiwe mnyonge, rekebisha mapungufu machche yaliyopo kisha wawajibishe wote waliosababisha taharuki hii kwa kutokutimiza wajibu wao na kupitisha mkataba ukiwa hovyo kiasi kile. Baada ya hapo kazi iendelee, tunahitaji uwekezaji wenye tija pale bandarini. Kama DPW anaiweza hiyo kazi na watafanya kwa uaminifu na kuhakikisha wale wahuni hawaigeuzi bandari kuwa shamba la bibi, why NOT? Tuwape wapige kazi.
Usisahau kuiweka mikataba wazi, itakusaidia usichomekewe madudu na wapinzani wako wa ndani ya chama. Inaonekana mtandao wao ni mpana.