Niambie ni mambo gani ya ajabu ulishawahi kufanya ukiwa na hasira hadi ukikumbuka unaweza kucheka na kujionea aibu kwa wakati mmoja...

Utakuja uvunjwe kwa kipigo
 
Yy alikuwa na mnyororo wa wanaume ile kila mwanaume hamkatai, mm nlikuwa na waschana 3 wote hawajuani but yeye alikuwa anawajua wote coz nlimwambia
Masikini, Lengo lako lilikua kumuumiza mdada wa watu makusudi tu😥🤒
 
Hizo hasira zako za kingese huja fokonyolewa vizuri ndio maana njoo uniletee huo usokwe wako uone kama utabaki salama
Watu mna makasiriko😃😃.. Unahisi labda sina wazazi au ndugu wa karibu au mimi mwenyewe labda siwezi kujishughulikia??.. Halafu sijaomba ushauri ni vile tu nimeshare situations zinazonikutaga nikiwa na hasira.. Kuna ambao wanafanya makubwa zaidi ya haya yangu mkuu ni vile tu confidence ndo tatizo
 
Watu huwa wanashindwa kutofautisha ni wakati gani nipo kawaida na wakati gani nina hasira/nimechukia muda wote wananiona na sura ya upole na hicho ndo huwa kinawaponza na ninawaumiza.

Niliwahi kumpiga mtu mzima mwenye umri sawa na baba yangu kwenye daladala nilimkanyaga bahati mbaya akanitukana na kunidhalilisha namuomba samahani ye akawa anaendelea kunitukana mimi joto likaanza kupanda taratibu ye hajui daladala ilivyosimama nikamkaba nikashuka nae nilimpiga jab moja tu akapepesuka akaegemea gari ikafata teke ya tumbo akaanguka chini.

Konda akaja kinizuia nikamsukuma nikavuka upande wa pili nikapanda bodaboda nikaondoka eneo la tukio kabla watu hawajajaa ila kile kitendo huwa nakijutia ningemfahamu mzee yule ningeenda kumuomba radhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…