Niambie ni mambo gani ya ajabu ulishawahi kufanya ukiwa na hasira hadi ukikumbuka unaweza kucheka na kujionea aibu kwa wakati mmoja...

Wee usiniambie Hadi ya bwana shemeji ulikua unachangamsha gengeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ€­
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hata ya kutafuta mwenza sikua serious na walikua wakija PM nilikua nawashangaa how comes walichukulia serious nyuzi nilizoandika kwa matani mengi ndani yake.

The only non-fiction ni ile miamala tu.πŸ˜‚πŸ˜ na hata sasa bado inatiririka coz my God is good
 
Hilo ndo la msingi,,
Humu watu wako serious na maisha Hadi sio poa.
Just imagine Kuna watu wananifanyia counselling wakati Uzi uko chit chats πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Babu kwa hasira hizi unadhani nitaweza kuhimili wivu mtoto wa mtu akinicheat kweli?. Au unataka nikaozee segereaπŸ˜ƒ
Hahaha.......hizo hasira zinaisha Mjukuu ukiwa unapewa morning glory.

Automatic utajikuta uko happy kila Siku kila saa as mwili unakuwa mwepesi Kwa huduma πŸ«£πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Ungeweka wazi kwamba ulicho andika ni Utani,hakina ukweli mkuu. Kushauri siyo jambo baya. Take it positively,watu wanakupenda
I understand,, na Ni matukio ambayo nimeyafanya lakini watu wamechukulia serious kupitiliza.. I mean wameover think...
I didn't seek for any advice Ndomana nikaweka kwenye jukwaa la chit chats,, najua namna ya kujishughulikia
Anyways thanks πŸ™
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii nimeipenda
 
Mmh kumbe sensia
 
Daah
 
Itakuwa hivyo ila jitahidi kuzuia hasira zako usijefanya kitu cha hatari zaidi kikakugharimu na kukufanya ujutie maisha yako yote.
Kumbuka hasira hasara ndio maana hatupaswi kufanya maamuzi tukiwa hatupo katika hali yetu ya kawaida.
Nimeumia
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]bora umewaza kwa sauti,hasa hii ya pili nimeshindwa kuamini kama ni kwel
Sema ndio hivyo ni utani ndio maana ipo chit chat.
Ukishindwa kujicontrol hasira zako ni hatari mno, unaweza fanya jambo kwa shinikizo la hasira likakudhuru hata wewe mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…