Niambie ni mambo gani ya ajabu ulishawahi kufanya ukiwa na hasira hadi ukikumbuka unaweza kucheka na kujionea aibu kwa wakati mmoja...

Yaani we acha tu,, Nina Imani nimesamehewa na Mungu lakin, zilikua ni hasira tu🤦🤦
Itakuwa hivyo ila jitahidi kuzuia hasira zako usijefanya kitu cha hatari zaidi kikakugharimu na kukufanya ujutie maisha yako yote.
Kumbuka hasira hasara ndio maana hatupaswi kufanya maamuzi tukiwa hatupo katika hali yetu ya kawaida.
 
Itakuwa hivyo ila jitahidi kuzuia hasira zako usijefanya kitu cha hatari zaidi kikakugharimu na kukufanya ujutie maisha yako yote.
Kumbuka hasira hasara ndio maana hatupaswi kufanya maamuzi tukiwa hatupo katika hali yetu ya kawaida.
Hilo ndio ombi langu namba moja kila siku nikiomba.. Asante kwa ushauri
 
Hilo ndio ombi langu namba moja kila siku nikiomba.. Asante kwa ushauri
Hilo limejibiwa tayari ushatambua hali yako ni hatua kubwa japo yahitaji muda na uvumilivu.

Kuna dada mmoja nilikutana nae wiki iliyopita akawa ananielezea alivyokuwa before kupata ukombozi wa hali yake, alikuwa akikasirika hatulii adi ajeruhi mtu na aone damu.
 
Duuuh, huyo mbona ana hatari.. Lakini simlaumu kwasababu ni maamuzi yanayokujaga gafla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…