Niambie ni mambo gani ya ajabu ulishawahi kufanya ukiwa na hasira hadi ukikumbuka unaweza kucheka na kujionea aibu kwa wakati mmoja...

Duuuh, huyo mbona ana hatari.. Lakini simlaumu kwasababu ni maamuzi yanayokujaga gafla
Hatari yake haikuwa ndogo kwa aliyowahi yafanya ila kwa sasa kafanikiwa kuiacha hiyo hali ila akikasirishwa analia na kutetemeka kwa muda mrefu.
 
😁😁😁😁 wewe dada unafaa sana ningekua na wewe damu yangu ingekua haipoi, hekaheka masaa yote........jokes 😁😁😁😁
 
Hatari yake haikuwa ndogo kwa aliyowahi yafanya ila kwa sasa kafanikiwa kuiacha hiyo hali ila akikasirishwa analia na kutetemeka kwa muda mrefu.
Na Mimi Nina Imani nitaacha,, japo ni ngumu maana akili zinarudi baada ya kutulia kama hivi
 
😁😁😁😁 wewe dada unafaa sana ningekua na wewe damu yangu ingekua haipoi, hekaheka masaa yote........jokes 😁😁😁😁
Hekaheka labda Nilishikwa na hasira mkuu... Mimi ni binti mmoja mtulivu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…